Wewe dada mshukuru sana mungu wako kwa kuwa anakuepusha na mengi japo wewe unaona kama ni bahati mbaya, i wish ningekuwa wewe, hakuna kitu kizuri kama kujua mtu hakupendi, mamii no matter umezaa watoto wangapi na yeye life goes on and we only live once kwa hiyo utilize vizuri hii opportunity ya maisha na kumbuka furaha yako ndio kitu muhimu kwa sasa, KATU USITHUBUTU KUFANYA VITU EXTRA ETI ILI KUMFANYA ASTAY, ALWAYS BE YOU. kikubwa mfute kadri uwezavyo katika akili yako anza moja, tafuta marafiki toka nao, toka na wanao hao ndio furaha yako. halafu jaribu pia kuwa unapata muda wa kutoka mwenyewe kwenda outting sehemu decent na huko jaribu kumake new friends ongea nao mambo tofauti ya maisha yani ukifanya hivi ndani ya miezi mitatu maisha yako yatabadilika completely na hautaamini. kikubwa look urself kwenye mirror and say this woman is sooo beatiful to be stressed, nenda saloon look beatiful and try as much as you can to love urself than anyone else. put in place plans from now ukiachana nae utaenda kuishi wapi, na kuhusu watoto asikutishe utaenda nao wewe until they are 14, mali mtagawana nusu kwa nusu, be ready for the devorce asikutishe hawa wanaume hawana lolote la kututisha kama mapenzi yameisha huna haja ya kukaa nae move on. WANAWAKE WANAWEZA. tena ndio utashangaa utapata mwanaume atakayekupenda mpaka utajiuliza ulikuwa unachelewa nini kutoka kwa hiyo ndoa.