lolyz
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 339
- 199
Pole sana Unlucky ila pls allow me nikuite Lucky,sababu umeshajua adui unayepambana naye anatumia silaha za namna gani,kama unapenda uendelee na ndoa yako liko tumaini nipm nikupe mistari na shuhuda za kwenye bible haitakuacha,na mumeo hajui ni kiasi gani anataka kujiharibia future yake kwa kwenda kuoa mtu mwingine Neno la Mungu linasema USIMTENDEE KWA HIYANA MKE WA UJANA WAKO,PIA - NINYI WAUME WAPENDENI WAKE ZENU MSIWE NA UCHUNGU NAO.Stay blessed