kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,628
- 1,786
Lengo nitumie pesa ya mkopo kufanyia biashara huku nikiwa nalipa kidogo kidogo kila mwezi dhamana yangu ni account ya bank salio nililonalo. Je napewa?
Sasa si ujikopeshe kwenye hiyo M4 yako!? Au unataka lazima ukopeshwe na Bank baada ya kuwapa hiyo M4 yako wakuwekee!!?Lengo nitumie pesa ya mkopo kufanyia biashara huku nikiwa nalipa kidogo kidogo kila mwezi dhamana yangu ni account ya bank salio nililonalo. Je napewa?
Lengo nisevu kias fulani mkuuSijakuelewa logic yako kabisaaa...nilijua unakopa ili uwe na mtaji wa mil6 kumbe unakopa mil2 uifanyie biashara hyohyo 2mil ila ukishindwa kulipa ulipe kwa cash yako ya 4mil kama mortgage. Kama ni hivi nilivyofikiria ndivyo ulivyo una shida mahali.
No sitaki wablokHakuna dhamana kama hiyo... Kwa io upewe mil 2 na bank afu uchote na kwa kwako 4 ukafanye biashara? Dhamana hapo inakua Nini?
Au unataka bank wablock Hio m4 yako afu ndo wakukope m2?
Lengo ni sevu kidogoSasa si ujikopeshe kwenye hiyo M4 yako!? Au unataka lazima ukopeshwe na Bank baada ya kuwapa hiyo M4 yako wakuwekee!!?
Hawawezi kukupa basi, imagine wakikupa ukatoa na zote zako alafu usiwalipe?No sitaki wablok
HahahaHawawezi kukupa basi, imagine wakikupa ukatoa na zote zako alafu usiwalipe?
Sijakuelewa logic yako kabisaaa...nilijua unakopa ili uwe na mtaji wa mil6 kumbe unakopa mil2 uifanyie biashara hyohyo 2mil ila ukishindwa kulipa ulipe kwa cash yako ya 4mil kama mortgage. Kama ni hivi nilivyofikiria ndivyo ulivyo una shida mahali.
Ili wakupe inabidi uiweke hiyo 4M yako kama fixed deposit. Bank wakupe certificate ya hiyo fixed deposit yako halaf we hiyo certificate ndio unaweza kopea.Lengo nitumie pesa ya mkopo kufanyia biashara huku nikiwa nalipa kidogo kidogo kila mwezi dhamana yangu ni account ya bank salio nililonalo. Je napewa?
SawaUnaishi mkoa gani?
DuhIli wakupe inabidi uiweke hiyo 4M yako kama fixed deposit. Bank wakupe certificate ya hiyo fixed deposit yako halaf we hiyo certificate ndio unaweza kopea.
Kama tayari una biashara sawaLengo nitumie pesa ya mkopo kufanyia biashara huku nikiwa nalipa kidogo kidogo kila mwezi dhamana yangu ni account ya bank salio nililonalo. Je napewa?
SimiyuUnaishi mkoa gani?
Ungekua kaskazin ama kanda ya kati ningekupa option ambayo ingekua nzur zaidiSimiyu