Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa si amesema mpaka mwanao wa miezi mi nne afke miezi 10 ndo akupe talaka!sasa katka miez hyo cta muoneshe mahaba ya dhat na wala ucogope kum-bemenda mwanao...mwnyw atabdl maamuz
sasa si amesema mpaka mwanao wa miezi mi nne afke miezi 10 ndo akupe talaka!sasa katka miez hyo cta muoneshe mahaba ya dhat na wala ucogope kum-bemenda mwanao...mwnyw atabdl maamuz
Hapo nadhani unamshauri dada yetu awe 'mtumwa' sasa!
Pole sana shosti, huyo mwanamme sie kabisa na wala hastahili penzi lako,usipende usipopendwa kama anakuona wewe huna haki ya kula mali mlio chuma pamoja basi mwenyezi mungu atakulipia chamsingi nikuchukua watoto wako mali hutafutwa usikae kwenye mateso kisa mlichuma wote,habari zenu wapendwa nadhani mlisoma story yangu yote na mume wangu haya sasa imefikia siku tena huyu bwana kanitafutia sababu eti hawezi kuishi na mimi kisa alinipiga wakati na mimba miezi nane nikaenda polisi lakini hakutiwa mbaroni leo ananitolea sababu hiyo kama umenivunja moyo sina mapenzi tena na wewe kisa hiyo sababu ya kwenda polisi watoto anataka kuwachukua anasubiri mtoto wangu wa miezi minne awe miezi 10 ndo anipe hiyo talaka,sasa jana binamu yake kaniambia kama huyu bwana anataka kuoa ndo mana wewe anakutafutia sababu dah roho inaniuma sana nimeteseka miaka sita hamna mapenzi nimechuma nae alikuwa maskini leo katajirika sasa anaenda kumuoa malaya anaedance clubs jamani naomba mnishauri niende wapi serekalini anipe jasho langu na hawa watoto pia nipate mimi na pia nataka huyu mtu atolewe kabisa hapa dar asiishi tena yani nimkomoe haswa kanitesa sana nimehangaika sana nae mpaka leo ana uwezo naomba mnisaidie dada judith upo