Kwani wewe unaonaje..? Sio kila kitu mpaka uulize mtu mzima,hicho kinachokupa wasiwasi ndio akiliHabari wadau.
Vijana wanasema talaka ya malaya ni makofi.
Je wapo sahihi
Nimeona tik tok vijana wanaimba na kucheza kwamba Talaka ya malaya ni makofi
Ya Nini mtoane ngeu na kutoana damu kisa mapenzi 😂🤣