kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,628
- 1,786
Lengo nitumie pesa ya mkopo kufanyia biashara huku nikiwa nalipa kidogo kidogo kila mwezi dhamana yangu ni account ya bank salio nililonalo. Je napewa?
Fafanua vizuri mkuuLengo nitumie pesa ya mkopo kufanyia biashara huku nikiwa nalipa kidogo kidogo kila mwezi dhamana yangu ni account ya bank salio nililonalo. Je napewa?
Sawa nimekuelewa mkuuFafanua vizuri mkuu
Yaani una 4m Bank afu
Unataka uiweke bond then wao wakupe 2m?
Kama ni hvo si ugawe hiyo 4m uanze kufanya biashara