FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,063
- 40,724
Eti wameonyesha kipindi cha historia ya ukombozi wa Afrika, ambapo wametaja wapambania uhuru kama akina Kwame Nkrumah, Patrice Lumumba na Nelson Mandela, Jomo Kenyatta miongoni mwa wengi.
Lakini cha ajabu walipofika kwenye ukombozi wa nchi za kusini mwa Afrika wameishia kumtaja Mandela tu na kuishia hapo. Yaani Julius Kambarage Nyerere, pamoja na mchango wake mkubwa katika ukombozi wa nchi za kusini mwa Afrika, hajatajwa hata kwa bahati mbaya, hii maana yake nini??!
Wanasema ‘A TRUTH HALF TOLD IS A LIE’, kwa kukaa kimya ni kukubali matusi ya nguoni juu ya baba wa taifa letu. Ngoja nipunguze jazba kwanza..., daah!!!
Lakini cha ajabu walipofika kwenye ukombozi wa nchi za kusini mwa Afrika wameishia kumtaja Mandela tu na kuishia hapo. Yaani Julius Kambarage Nyerere, pamoja na mchango wake mkubwa katika ukombozi wa nchi za kusini mwa Afrika, hajatajwa hata kwa bahati mbaya, hii maana yake nini??!
Wanasema ‘A TRUTH HALF TOLD IS A LIE’, kwa kukaa kimya ni kukubali matusi ya nguoni juu ya baba wa taifa letu. Ngoja nipunguze jazba kwanza..., daah!!!