Napendekeza siku ya Kumbukizi ya Hayati Magufuli tuandamane na mabango hadi kaburini ili kuhiji na kuonesha hisia zetu

Kweli ukiwa mnyonge na akili yako inajaa unyonge.
Kama US, China na Russia vitu vimepanda bei huku bongo kwanini visipande?
Jambo jingine ni kwamba akili yako Haina akili unawaza umachinga tu badala ya kuwaza mbali. Sheria ziliwekwa na ndizo Samia kazifuata, hairuhusiwi kufanya biashara maeneo yasiyo rasmi kibiashara.
Magufuli aliwatumia nyie wajinga kujizolea umaarufu.
Angekuwa na nia njema angefuta zile sheria mnazohisi haziko sawa maana alikuwa na authority hiyo.
Alikuwa anawainjoi tu.
Mbona kuna sheria nyingi alizibadili ili aendelee kubaki madarakani kiurahisi?
Kwa ufupi wewe ni lofa,
Nadudia wewe ni lofa
Lofa
Jipige kifua, sema mimi ni lofa
 
Kama kiwanda kikubwa kimeshindwa kuagiza nje sisi inatuhusu nini? Mpaka stock inaisha mmekaa tu kusubiri samia abebe migunia kuwaletea hapo kiwandani?
 
Kwa hiyo unataka kwenda na mabango kaburini kwa Rais aliye mfu, lakini huna nia ya kwenda na mabango ikulu kwa Rais aliye hai....!!!
 
Shangazi yako amekopa trillion 10 ndani yamiezi sita ili kujengea matundu ya choo kenge wewe.
Watanzania tunashida ya kufikiri kwa kutumia mihemko.Hayati Magufuli alikopa akanunua ndege,akajenga flyover, akajenga SGR,akajenga Bwawa la Nyerere .huwezi kulinganisha na anayekopa kujenga madarasa na kujenga vyoo ili watoto wa kike wakipata mimba waendelee kusoma mfumo rasmi.unless kama kodi zetu zinaenda kumalizia miradi mengine yenye tija kwa taifa
 
Swala la umeme ni ukame ndio chanzo hilo ndilo jibu sahulihi , ukame wa sasa hakuwahi tokea tangu 2015
 

We nyumbani kwako hamtumii sukari mpaka usikie kwa jirani?
 
Yaan hapo wewe ndio unajiona huja hemka!? Basi we nawe ni tatizo

Unashangaa kujengwa madarasa kwa hiyo ulitaka watoto waendelee kukaa 200 kwa darasa moja?
 
Au muandamane mpaka ahera kabisa, na msirudi kabisaa! #kulenyai
 
R.I.P Magu...kifo hakichagui nyie wapambe wake kama mnataka kumfuata aliko nafikiri mmechagua njia sahihi coz hata Magu angekua hai angewafanyia hivyo coz alikua hapendi maandano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…