chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,959
ila Magufuli alisema maandamano ni haramu na watakaoandamana wapigwa ikibidi hata wauaweMagufuli alikuwa hasara kwa Taifa,atakae kwenda kuhiji Chato atakuwa fala sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila Magufuli alisema maandamano ni haramu na watakaoandamana wapigwa ikibidi hata wauaweMagufuli alikuwa hasara kwa Taifa,atakae kwenda kuhiji Chato atakuwa fala sana.
Kama kiwanda kikubwa kimeshindwa kuagiza nje sisi inatuhusu nini? Mpaka stock inaisha mmekaa tu kusubiri samia abebe migunia kuwaletea hapo kiwandani?Mfumuko wa bei ni janga.
Tuache hayo nina swali nje ya mada.
Huku mitaani hakuna soda ya Pepsi nasikia tatizo ni kukosekana kwa sukari.
Tetesi ni kuwa kuna upungufu mkubwa wa sukari ya viwandani na ya majumbani.
Hii habari ni ya kweli? Kama ndivyo serikali inamkakati gani kutatua tatizo?
Watanzania tunashida ya kufikiri kwa kutumia mihemko.Hayati Magufuli alikopa akanunua ndege,akajenga flyover, akajenga SGR,akajenga Bwawa la Nyerere .huwezi kulinganisha na anayekopa kujenga madarasa na kujenga vyoo ili watoto wa kike wakipata mimba waendelee kusoma mfumo rasmi.unless kama kodi zetu zinaenda kumalizia miradi mengine yenye tija kwa taifaShangazi yako amekopa trillion 10 ndani yamiezi sita ili kujengea matundu ya choo kenge wewe.
Swala la umeme ni ukame ndio chanzo hilo ndilo jibu sahulihi , ukame wa sasa hakuwahi tokea tangu 2015Huku jimbo jirani kabisa na kaimu ardhi hatuna maji siku ya tatu leo.
Huku umeme tena ni majaliwa washa zima imezidi.
Hatukuyaona haya enzi za Magufuli, Ila kaburini kwake siwezi kwenda nendeni nyie vijana
Ijapokuwa wengine alituumiza ila sasa tunaumia zaidi.
Mfumuko wa bei ni janga.
Tuache hayo nina swali nje ya mada.
Huku mitaani hakuna soda ya Pepsi nasikia tatizo ni kukosekana kwa sukari.
Tetesi ni kuwa kuna upungufu mkubwa wa sukari ya viwandani na ya majumbani.
Hii habari ni ya kweli? Kama ndivyo serikali inamkakati gani kutatua tatizo?
Yaan hapo wewe ndio unajiona huja hemka!? Basi we nawe ni tatizoWatanzania tunashida ya kufikiri kwa kutumia mihemko.Hayati Magufuli alikopa akanunua ndege,akajenga flyover, akajenga SGR,akajenga Bwawa la Nyerere .huwezi kulinganisha na anayekopa kujenga madarasa na kujenga vyoo ili watoto wa kike wakipata mimba waendelee kusoma mfumo rasmi.unless kama kodi zetu zinaenda kumalizia miradi mengine yenye tija kwa taifa
True.ila Magufuli alisema maandamano ni haramu na watakaoandamana wapigwa ikibidi hata wauawe
Au muandamane mpaka ahera kabisa, na msirudi kabisaa! #kulenyaiBado ni mwaka mpya maana hata watoto hawajaenda shule bado.
Pamoja na yote natambua juhudi na kazi kubwa inayofanywa na rais wetu mpedwa mama Samia kwa kuhakikisha usalama wa nchi na kuifikisha Tanzania sehemu fulani.
Kwa sehemu yangu nakupongeza sana mama na hiyo inathibithisha kuwa kweli mama zetu mnaweza. na wale ambao wamefikia mahali kuachia ngazi za juu za uongozi nao pia nawapongeza maana wametumia haki yao kikatiba bila kuharibu amani ya nchi yetu maana amani ya nchi yetu ni muhimu zaidi kuliko mtu mmoja au nafasi walizonazo.
Pamoja na yote mimi kama mwananchi wa chini kabisa huku ambaye natafuta mkate wangu jua kali kwa maana ya machinga na kibarua. ni ombi langu kuu, kwamba kwa vile mwaka umeanza hivyo naamini kutakuwa na ratiba ya kiserikali ya kumbukizi ya aliyekuwa rais wa awamu ya tano ambaye kwa sasa ni marehemu.
Napendekeza kumbukizi hiyo ifanyikie Chato palepale alipolazwa lakini pia uwepo utaratibu wa uhuru wa watu kutoa maoni yao ya hisia bila kupigwa kwa njia yoyote ile hasa ya mabango na vyombo vya habari visichuje habari.
Yaani kuwe na maandamano ya amani kwa wale wote tutakaoweza kufanya maandano hadi eneo litakalotengwa kupokelewa maandamano hayo.
Moja kati ya hisia zangu ni pamoja na kutaka kujua marehemu aliwezaje kudhibiti mfumko wa bei kama mafuta, sabuni na chakula hali ambayo kwa sasa ni kama imekuwa ni kama imeshindikana.
lakini pia hisia zangu nitaonesha, marehemu aliweza kumudu kuwacha machinga mjini na bado mambo yakaenda sawa tu hali ambayo kwa sasa limepita fagio la kata mtaji na kuyumbisha watu hao kwa kuwahamisha hali yeye marehemu aliweka usawa.
Mwisho naamini kuwa watu wengi wanaweza kuwa na mambo mengi ya kumkumbuka marehemu hivyo kupitia maandamano hayo kila mmoja anaweza kutoa hisia zake kama sehemu ya kumkumbuka marehemu.