Napenda kunusa kufuri la mke wangu

Napenda kunusa kufuri la mke wangu

Hahahahahahhaha...dah!aisee wewe upo wa aina yako...jaribu kuwa busy na mambo mengine
 
Wapo wanaopenda vitu vya ajabu kuliko wewe. Kama wale wanaopenda harufu ya choo. Wengine wanapenda harufu ya kwapa za wapenzi wao, kale ka jasho.

Ama kweli duniani kuna watu mnachekesha mpaka balaah.
 
Usiogope utakuwa na kipaji cha kushona,kudesign machupi chupi.Kiendeleze utakua bilionea mshona machupi ni kipaji hiko we usideal na chochote kile,cheza na chupi tuu hakika utafanikiwa uncle.
 
Brazaa hio kitu ni aleji fulani ilishanipataga. Siku wahi home, chukua sufuria weka jikoni tia mafuta na vitunguu maji na tangaziwi kwa mbali. Fanya kama unarosti hiyo chupi then weka maji ya moto kipimo cha glass. Subiri mchanganyiko wako utokote kwa dakika kadhaa then kunywa supu yako.…inakata kabisa ako kahamu kakutembea na chupi
 
Brazaa hio kitu ni aleji fulani ilishanipataga. Siku wahi home, chukua sufuria weka jikoni tia mafuta na vitunguu maji na tangaziwi kwa mbali. Fanya kama unarosti hiyo chupi then weka maji ya moto kipimo cha glass. Subiri mchanganyiko wako utokote kwa dakika kadhaa then kunywa supu yako.…inakata kabisa ako kahamu kakutembea na chupi
Hahahaha dah! Umeua boss.
 
Unatatizo la Kisaikolojia utatibika Iwapo utakutana na madaktari wa akili wanajua njia ya kukufanya kuacha.
Wengi wanaugua matatizo hayo sema huwa hawajui la kufanya
 
Hahahahahhahahahahahhahhahahhahahahahaahah jamaa kawa mbwa hahahahababahbahaba
 
Ufunguliwe kutoka katika hali hiyo....Pepo toooka katika jina la Yesu...sema amen,na uamini kwamba hilo limekwisha
 
ndingi mwana nzeki

hongera sana kwa ujasiri huo. je huwa unakuwa nazo za siku zote za ktk mwezi au ni kwa siku 28 tu za hizo siku 3 huwa huchukui kwakuwa wanakuwa ktk mp?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom