billionea alpha
JF-Expert Member
- Apr 10, 2014
- 1,496
- 1,755
Acheni kumtusi baada ya kumshauri mna mcheka siyo poa anaweza akawa ana pepo na akili zake ziko poa tuu
Sasa huwa unazipataje pataje? Ina maana akivua huwa hazifui? anatupa tupa tu?
Dah! njemba inaiba chupi za mkewe ila kuweza kuzinusa LOL! Si umwambie ukweli tu kwamba wewe ndiye huwa unaziiba ili kuzinusa?
Hapa ndo ninaanza kuamini kuwa duniani kuna majini, mapepo na mashetani.