Nape Nnauye kuongea na wanahabari

Nape Nnauye kuongea na wanahabari

Status
Not open for further replies.


Mheshimiwa Nape Moses Nnauye anaatarajia kuongea na wanahabari leo, stay tuned Movie bado inaendelea.

Jambo hili la kutumbuliwa wengine. tulilitarajia...kwa sasa anatakiwa atulie anaweza kuumia
 
Nape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
Usije ukaongea tena maneno kama haya. Watu watakushangaa. Nchi ni ya wananchi. Ndiyo maana hata wewe waweza sema "nchi yangu". Na pia unatakiwa uijue tofauti kati ya mtawala na kiongozi
 
"Katiba hii imenipa Madaraka makubwa sana, siku atakuja mtu ataitumia atakavyo na kuwa kama Mungu". - Mwl. Nyerere 1982.
Yule Mzee kwa kweli alikuwa na maono. Ila najiuliza atendaye haya sasa hivi akitoka madarakani atakuwa mgeni wa nani? Maana kutoka madarakani yaweza kuwa hata kesho na sio uchaguzi pekee
 
Ha ha haaaaa huwa nafurahia sana wakija upande wa pili. Sasa naye atakosa pa kusemea mpaka atatamani bunge live!
 
So bunge limewashwa. Ohhh do not trust Watz wa mitandaoni. Kwao mantiki sio muhimu. Ila wako tayari kuuza akili na mioyo yao kwa mihemko tu. Leo wema akienda act wataenda na utaona wanatukana alikotoka. So kama unafanya kazi tz fanya tu. Hawa vijana wa humu waache tu. Hawana msimamo na hata hawajui wanachotaka. Hawajui nini chanzo wala hawasubiri. Hivi unadhani alivyoteuliwa Prof Kabudi hukuona kuwa atatoka waziri.

Soma vizuri andiko langu ndg, nimekuwa specific na issue na ndio maana nikasema "katika hili" hamaanishi kwa vile ametenda mabaya mengi akitenda jema tusiseme. Msamaha hauondoi makovu yaliyotokana na majeraha ya awali.
Mtu akimuua ndg yako then ukamsamehe haimaashi kuwa umesamehe kwa sababu ndg yako amefufuka...

So ni kweli bunge halijarudi lakini katika hili namuunga mkono, ni kweli alisimamia maslahi ya wengi!
 
Uwongo mbaya tukiwapata wanaume wengine wa2 wenye kujitoa muhanga kama Nape watanzania wataamka toka usingizini. Nakumbuka usemi wa bibi mmoja alisema "Tanzania sio nchi ya amani bali ni nchi ya Uvumulivu" duuu!! Sasa nmeyasadiki maneno hayo.
Peter kafumu na Vick Kamata mbona wameweza?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom