Nape Nnauye kuongea na wanahabari

Nape Nnauye kuongea na wanahabari

Status
Not open for further replies.
Hivi ataongea nini.,mabadiliko ni ya kawaida ktk kazi wangap wamebadilishwa wako kmya tu tena bestfriend,shauri yako maneno mengi madhara mengi pia.
mwache ajifanye kichwa ngumu kina Kitwanga wanapiga kazi zao na wako poa kujifanya mjuzi nikujitaftia matatizo
 
Samahani hivi si huyu nape alishawahi kusema jk akishinda urais atahama nchi au ni mwingine?
 
Ccm ni chiboko nape atatulia tuli kama lowasa..
Unadhani mkata Umeme na Nape nani ana mizizi imara ndani ya ccm?
Hata kijiji cha wachawi wakikuchagua uwe kiongozi wao lazima ujue wapo waliokwisha kutoa kafara kubwa kabla yako na wanaheshimika na kuogopwa kuliko wewe
 
Alishindwa nyerere kuwa diktekta wa nchi hii, hakika Magufuli hatoweza. Mzee amesahahu kwamba anaongoza watu na sio mbuzi.
Nape hajatumbuliwa, bali amelipisha gari la mavi lipite. Siasa za kusini mwa Tanzania.
 
Naona Mwakiembe Sasa Kaja Kupambana na Tasnia ya Habari TV na Magazeti Kazi Ipo Naona Mkulu Limemshitua Suala La Mwanae Kuto Kuuza Sura Kwenye Vyombo Vya Habari.
 
..tundu lissu aliwahhi kuwaambia ccm mkiyanyamazia haya yanayotokea kwenye utawala huu nanyi yatawarudi...ndicho tunachoshuhudia leo...
 
Kwani kasema ataongea na wanahabari
7711cb10bc302dce3c2cc423f129d515.jpg
 
Kwani kasema ataongea na wanahabari
Ka-tweet kitambo kwamba ataongea na media!!

Kuhusu Nape, sitarajii kwamba anaweza kufanya jambo kama hilo kwa sasa... Nape isn't that stupid manake akifanya hivyo itakuwa kama kulikuwa na politics ndani yake!!!
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Acha Waendelee kushughulikiana, tuliwaambia CCM imeishiwa pumzi hamkutuelewa. Gwajima alisema Tanzania mpya inakuja.
 
Nawashauri viongozi wa ccm na wabunge wote washirikiane na nape katika kipindi hiki kuokoa mtikisiko ndani ya chama
 
...pengine ingekuwa busara kukaa kimya kwa sasa ... Pengine kundi lake limeanza retaliation ..."liwalo na liwe .... Kwetu mjini, hakuna mashamba Zaidi ya bongo zetu" ...
 
Bashite akimtaka demu wangu nampa bure na hata guest nitawa kodia bashite aguswi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom