Nape Nnauye kuongea na wanahabari

Nape Nnauye kuongea na wanahabari

Status
Not open for further replies.
d014202a3e24551a592592873cd5ca53.jpg

Muheshimiwa nape Moses anaatarajia kuongea na wanahabari leo, stay tuned Movie bado inaendelea.
ninacho kushauri kama upo humu,kuwa mpole Nape ,"jiwe la msingi umeshaliweka" yasije kukukuta ya akina Manji
 
kuna vijana walisitishiwa ajira zao yani wanaogopa sana kwa hali hii Rais sijui hatazifuta
 
Tupo gizani, kama naota jeshi limeamulishwa kufinga vituo vyote vya habar
 
Nape kwa unavyoijua siasa ya Tanzania baki CCM usije huku upande wa pili. Ukibaki ccm utakuwa chachu ya maendeleo kwa watz., kwani I know hata kivuli chako kitakuwa kinaogopwa
 
Mh. Nape Nnauye tafadhali tulia; achana na haya mambo. Mwenye mamlaka ameamua kuisuka timu yake upya isiwe sababu ya mashindano. Wewe endelea na majukumu yako mengine; imetosha.
Acha uoga wewe.
Kila mtu ana haki ya kufanya chochote bila kuvunja sheria na taratibu za nchi.
Soma katiba.
 
d014202a3e24551a592592873cd5ca53.jpg

Muheshimiwa nape Moses anaatarajia kuongea na wanahabari leo, stay tuned Movie bado inaendelea.

Mola akusimamie katika hilo.
Ila nakushauri mkuu Nape Nnauye kama ungekaaa kimya tu , kama mkuu Benard Membe
alivyofanya ,kwani Membe anatupia tu madini ayke kupitia hapa JF, Mimi basi naona ingekuwa vema sana.

Kukaa kimya nako ni jibu kwake.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom