pappilon
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 3,192
- 3,565
Sema chochote baba Nape,na nafsi yangu itapoa.
Wamemwaga mboga nawe malizia tulale njaa wote leo.
Natamani sana kusikia Nape ataongea nn...sijawai kumpenda huyu bwana ila kwa hili alilolisimamia bila unafiki wowote nilitokea kuanza kumkubali.
Kwa hali ilipofikia hizi taarifa za Nape kuongea na wanahabari zikimfikia shilawadu usishangae Nape akafichwa sehemu salama. Hii taarifa imenitetemesha.
Magufuli baba siku ukisikia Bashite kaamrisha askari wawatwange watu risasi,,waziri wa ulinzi au mambo ya ndani akifungua mdomo tu naye mtumbue.