cha tabora
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 424
- 208
Ukiwatendea yaliomema wenzako na kuwapatia haki yao wanayostahili kupata basi hao wenzako watakumbuka kukuombea DUA zenye heri bila ya wewe kuwaomba. Mungu akusimamie.
Nape 2015 wakati wa uchaguzi na baada ya kuzima bunge live, nilikuchukia na ulikiwa unanikera sana lakini katika hili nakuunga mkono na roho yangu imekusamehe!
kumbe hii nchi ni ya mtu binafsiNape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
Mwenye nchi hii ni mimi, wewe na Magufuli ni mwananchi pia aliyebahatika kupata ajira ya juu kabisa nchiniNape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
Sio muoga Kama wewe jifungie uvunguni na mkeoNape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
Hawezi kusahaulika ndio source ya yote hayaSasa ivi wanasahau daudi bashite..
Nape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
R.I.P Baba Yetu
Kweli mkuu, unapopata msuko suko ni muhimu sana kutulia na kutafakari kwa kina kuliko kukimbilia kwenye public, huwezi jua may be boss wake ameona hatoshi hapo anatosha sehemu nyingine ambayo atakuja kumuweka baadae.....anaweza kujifunza kwa mamaetu Kilango, alitumbuliwa akakaa kimya kwa kanuni ya sikio halizidi kichwa na sasa anapeta,anachotaka kukifanya ni sawa na nazi kujipigiza kwenye jiwe.SIKU ZOTE MUNGU YU PAMOJA NA WENYE KUSUBIRI.Nape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
Nape angekausha tu,anaweza kuvuliwa uanachama kabla ya saa 4 au hata kum-Saanane,Lissu aliwaambia mapemaaaaa
Hii dhana ndo imetufikisha hapa na inazidi kutupeleka pabaya. Mweye nchi? nchi ni mali ya wananchi wote. Kiongozi anapewa dhamana ya kuwaongoza hao wenye nchi na si kumirkishwa nchi.Nape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya