Nape Nnauye kuongea na wanahabari

Nape Nnauye kuongea na wanahabari

Status
Not open for further replies.
d014202a3e24551a592592873cd5ca53.jpg

Muheshimiwa nape Moses anaatarajia kuongea na wanahabari leo, stay tuned Movie bado inaendelea.



NAPE UMEINGIA TAYARI KWENYE VITABU VYA MASHUJAA WA TAIFA HILI KWA KUISIMAMIA KWELI HADI MWISHO
 
Uje utuelezeje bayana, inawezekana John Beer dish limeyumba, sie tukamuona timamu.
 
Nape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
Acha upumbavu wewe hii nchi ya watanzania wote hakuna mwenye haki miliki na ndio maana hata madaraka unapewa na wananchi na kwa muda wa miaka mitano tu. Tatizo lenu kina DAB mnafikiri rais ndio kila kitu katika nchi, rais anafanya majukumu yake kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi full stop.
 
Nilikuwa sikukubari, ila toka umeanza kusimamia ukweli nakukubari sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom