Nape Nnauye kuongea na wanahabari

Nape Nnauye kuongea na wanahabari

Status
Not open for further replies.
Ninaamini Nape anajua anachokifanya. Ameamua. Hapa nahifadhi maneno kwani ngoma hii ina move fast.
 
nape aangalie atavuliwa uwanachama kwa nguvu muda si mrefu. ccm tulieni mmeshauza chama kwa jpm.
 
Muda wa manyingu kuumana. Laana za mzee mwenye nywele nyeupe zinazidi kuwatafuna. KARMA is a real bitch. No stone will remain unturned.
Kama vile kuna kapoint kwa ndani hivi. Ila yule jamaa hajui anachofanya.
 
Nape 2015 wakati wa uchaguzi na baada ya kuzima bunge live, nilikuchukia na ulikiwa unanikera sana lakini katika hili nakuunga mkono na roho yangu imekusamehe!
Nishamsamehe huenda alilazimishwa
 
Mimi ni chadema full nasijawai kuipenda ccm na watu wake ila kwa hili umenifanya nikupende na kukuona na wewe ni shujaa sasa wakikukera sana geuza cd amia upande wa kwa wapigania haki na demokrasia makini nape wewe ni shuja wala ukutaka kuwa mnafiki ili upate ugali asante sana muheshimiwa nape
 
Nape jifunze kuwa na akiba ya maneno, tulia huna haja ya kufanya press conference leo, wewe ndio ulikuwa unafunza wenzio kuwa mwanasiasa ni kuwa na ngozi ngumu, ni muda sasa wa kuyatenda uyanenayo.
 
Atakua kajiuzulu kwa hiyari yake huyu jamaa.

Na mm nimehisi kitu kama hicho...mbona taarifa ya msigwa haijasema kuwa katenguliwa.

Ila haijasema pia kama kajiuzulu...au labda mkulu katoa maelekezo taarifa iandikweje. Duuu hii mikanganyiko ya awamu hii..Mungu tu atusaidie kwa kweli.

Halafu mbona signature ya msigwa huwa inakuwa tofauti tofauti,, au wakati mwingine anakuwa amesimamiwa na mkulu wakati akisaini kwa hyo anatetemeka.
 
Nape ni shujaa wa kweli kwenye hili!! Utakumbukwa kama shujaa wa kweli uliepinga udikteta kwa nguvu zako zote
 
mm nimekata tamaa sana yani Rais anaogopesha sana dah ni Rais mzuri sana sema mh hata walimu wapya wameanza kuogopa kuwa nani atawaombea vibali
Hajawahi kuwa mzuri katika kufanya kazi
Ukabila, ubaguzi,
Majivuno
Dharau na sifa za kijinga.
 
Kwanza nikupe pole sana, hizi ndizo gharama za kuutetea ukweli daima. Lakini kumbuka kwenye siasa hakuna rafiki wala adui wa kudumu. Bila wewe na mzee Kinana kuifufua CCM leo tungekuwa tunasema mengine.

USHAURI:
Ninayeandika haya ni kiongozi ndani ya UKAWA, tungekuhitaji sana kwetu na tunakuhitaji sana lakini siyo saa hizi. Kwa jinsi nchi inavyoendesshwa tunahitaji wapinzani ndani ya CCM. Tunawahitaji wengi sana.

CCM inafika mwisho lakini tunataka kifo chake kitoke ndani ili utabiri wa mwalimu ukamilike. Nadhani umenielewa na nitarudi ku-comment chochote baada ya wewe kuonyesha msimamo wako.

Asante
 
Atudi CCJ YAKE NA MAREHEMU SITA NA MPENDA MZOE WAKE...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom