Nape Nnauye kuongea na wanahabari

Nape Nnauye kuongea na wanahabari

Status
Not open for further replies.
Tatizo la NAPE amekuwa mpuuzi sana. Hakuna wizara ya kula bata tena hata ambayo huwezi kupata stress za kutumbuliwa kama wizara ya NAPE. Tatizo lake amejichomeka chomeka kwenye matatizo hata yasiyomhusu mpaka kibarua kimeota nyasi

1.Makonda anataja wauza madawa, wewe unaitisha press unawatetea kina wema - Rais anaweka msimamo kwamba hata kama ni mkewe akamatwe then wewe unjenda tena kwa Sam dk 45 kuleta majibizano
2.Makonda anamtuhumu MAJIZO kuuza madawa then wewe anakualika uzinduzi na unaahidi kumlinda
3.Suala la Clouds unama kabisa serikali imejitenga na RAIS Kashaweka MSIMAMO then wewe unaendelea tu na mambo ya TUME

NIDHAMU ZERO !
Nape ni mbunge wa bunge la Jamhuri, mshahara wake kwa mwezi ni millioni 11. Hapo ni nje ya posho na marupurupu.

Wewe endelea kujitia madole halafu nusa.
 
Kwa akili ya taahira. Baba wa Taifa mbona hakukubaliana na MACCM walipoamua kupinga vyama vingi? Alikosea mahali? Baba wa Taifa mbona aliizodoa CCM kwa kutokuwa tena chama cha wakulima na wafanyakazi na kusema CCM si mama yake. Je, alikosea mahali? Acha kuonyesha ujuha wako hadharani. Kama huna cha maana cha kuandika kaa kimya badala ya kukurupuka.

Ukiona Wapinzani wako wanakusifu ujue umekosea mahali!
 
Nape 2015 wakati wa uchaguzi na baada ya kuzima bunge live, nilikuchukia na ulikiwa unanikera sana lakini katika hili nakuunga mkono na roho yangu imekusamehe!
Malipo ni hapahapa duniani, Nape naye atapita kwenye moto kama ambavyo wapinzani wake walipita kwenye moto wakati wa uchaguzi 2015 na hata baada ya uchaguzi. Hilo li-zimwi litamtafuna japo halitammaliza kwasababu linamfahamu
 
Nape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya na waungwana wanasema UKIVULIWA NGUO CHUTAMA HASI.....yaan ukivuliwa nguo usikimbie ila chuchumaa chini. Nape atulie hawezi kushindana na Mkuu wa Nchi, atajikuta anaumia zaidi.... Na inaweza kuwa mwanzo na mwisho wake kupotea kwenye ramani ya siasa. Nchi haishindwi na kitu. Kwakutumia busara Ashukuru na akae kimya. Awatumikie wananchi wake wa jimbo lake. Serikali ikiamua kudeal na mtu haishindwi kitu. Tumtakie raisi afya njema atufikishe nchi ya furaha na matumaini.
 
TMPDOODLE1490265214219.jpg

Saba unusu hio....
 
Aliyezuia bunge live ni baba yake Bashite ndio maana Nape amechoka kutumiwa.

Bashite Sr alishasema yeye ndio aliyemtesa Lema na yeye ndiye aliyezuia bunge live.

Mumuache mtoto wa Comred Nnauye.
BASI ALITAKIWA AJIUZULU PALEPALE KM WAZIRI, NA KM ALIKUA HAKUBALIANI NA SWALA HILO, HAPO NDO ANGEKUA SHUJAA.

WABONGO KWA KUSAHAU HATARIIIIIIIIIIII
 
Wasiwasi wangu ni kwamba dikteta uchwara anaweza kabisa kumzuia Nape asiongee, tusubiri.
 
BASI ALITAKIWA AJIUZULU PALEPALE KM WAZIRI, NA KM ALIKUA HAKUBALIANI NA SWALA HILO, HAPO NDO ANGEKUA SHUJAA.

WABONGO KWA KUSAHAU HATARIIIIIIIIIIII

Angejiuzulu ukweli wote usingekulikana. Usingejua kuwa Makonda aliwatisha wale vijana kwa kuwabambikizia kesi ya madawa na kuwafunga miezi 6.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom