Nape Nnauye kuongea na wanahabari

Nape Nnauye kuongea na wanahabari

Status
Not open for further replies.
Uwongo mbaya tukiwapata wanaume wengine wa2 wenye kujitoa muhanga kama Nape watanzania wataamka toka usingizini. Nakumbuka usemi wa bibi mmoja alisema "Tanzania sio nchi ya amani bali ni nchi ya Uvumulivu" duuu!! Sasa nmeyasadiki maneno hayo.
 
Tasnia hii ya habari itaendelea kumkumbuka sana Nape kwa muda mrefu kwa uthubutu wake. Ni ajali ya kisiasa.
 
Hii serikali inaendeshwa na watu wawili tu, Bashite na Rais. Mawaziri hawana kazi waondolewe wote.
 
Very unfair huyu jamaa kalelewa na chama since wayb ack alijitoa kwenye uchaguz na kinana alidhihak na kutimiza kaz yake ya uenezi leo hii anamwagwa kisa Bashite ukistaajabu ya Jecha utayaona ya Pombe..this is Tz....
Vyeo vya fadhila na wengine wanataka wapewe fadhira
 
Bora ajikalie zake kimya maana kina Bashe wanamdanganya apambane na mwenye majeshi yatamkuta mengi kwanini asiwe kama Kitwanga maana kukaa kimya nako ni busara, utakwepa mengi sana badala ya kujibizana na watu
 
Nape tiyari ameshakuwa shujaa

Anachotakiwa kufanya kwa sasa ni kuhama ccm
 
Mwacheni aongee bna kila mtu ana uhuru wa kuongea nape ongea shujaa wangu tupo nyuma yako makamanda
 
"Katiba hii imenipa Madaraka makubwa sana, siku atakuja mtu ataitumia atakavyo na kuwa kama Mungu". - Mwl. Nyerere 1982.
Kosa ni la wale watu walioikataa ile ya warioba pale bungeni
 
Hii iwe fundisho kwa watu wote wenye tabia kama hizo, ni nani alitangaza kufuta Bunge Live, ni Nani alisema hata kwa Goli la Mkono na hila nyingine nyingi. Mbona hakutangaza kujiuzulu wakati wa Bunge Live ambalo lilikuwa na maslahi kwa wengi.

Magufuli alikiri kuwa yeye ndie aliezuia bunge live.
 
So bunge limewashwa. Ohhh do not trust Watz wa mitandaoni. Kwao mantiki sio muhimu. Ila wako tayari kuuza akili na mioyo yao kwa mihemko tu. Leo wema akienda act wataenda na utaona wanatukana alikotoka. So kama unafanya kazi tz fanya tu. Hawa vijana wa humu waache tu. Hawana msimamo na hata hawajui wanachotaka. Hawajui nini chanzo wala hawasubiri. Hivi unadhani alivyoteuliwa Prof Kabudi hukuona kuwa atatoka waziri.
Shida kwanini awe Nape na sio Mwakyembe?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom