Sophist
Platinum Member
- Mar 26, 2009
- 4,486
- 3,411
hiyo ilikuwa ngoma ya kitoto, waswahili husem haikeshi.Unajua kuwa Nape aliwahi kufutwa UVCCM 2007 na Mzee Makamba akasema Rufani ya Nape imefungwa mbinguni na Ardhini?
hiyo ilikuwa ngoma ya kitoto, waswahili husem haikeshi.Unajua kuwa Nape aliwahi kufutwa UVCCM 2007 na Mzee Makamba akasema Rufani ya Nape imefungwa mbinguni na Ardhini?
Nape 2015 wakati wa uchaguzi na baada ya kuzima bunge live, nilikuchukia na ulikiwa unanikera sana lakini katika hili nakuunga mkono na roho yangu imekusamehe!
Nape angekausha tu,anaweza kuvuliwa uanachama kabla ya saa 4 au hata kum-Saanane,Lissu aliwaambia mapemaaaaa
au hata kum-Saanane,Lissu aliwaambia mapemaaaaa
ajivue ubunge na ahame chama, otherwise akae kimya na ndio kipimo cha busara
Nape tunafahamiana. Ninakuzidi umri, elimu na uzoefu. Wewe hujawahi ku-experience mabadiliko ya serikali hususan katika nchi violent kama Rwanda, Burundi, Turkey na kwingineko. Uzoefu wako ni huo muda mfupi uliokaa na kuishi CCM. Unajua uluvyokuja DSM, kupokewa CCM Lumumba kujitambulisha kuwa wewe ni mtoto wa Mzee Moses Nnauye (apumzike kwa amani), kupelekwa UVT na kisha kufika hapo ulikofikia. Huijui Dunia nyingine nje ya CCM. Ninakushauri; Kaa Kimya!
Mwenye Nchi ni MIMI na ndio maana naitwa MWANANCHI.Nape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
Nape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
Hili ndo tatizo letu UOGA mwache aongee ni haki yake kuongea na ss tunataka kusikia anachoongea.Nape kaa kimya ndugu yangu mshukuru Mungu utatumiwa majeshi usicheze na mwenye nchi
Hutaki kutafakari vizuri huhusu tukio zima,Mhe.Nape ni waziri mwenye dhamana ya habari na michezo na anasimamia sheria ya habari na vyombo vyote vya habari.......linapotokea tukio kama lililotokea la kiongozi (kama mkuu) ambaye ni mkuu wa mkoa kuvamia kwenye chombo cha habari()Radio/Tv na kushinikiza habari/kipindi kirushwe hewani atakavyo yeye bila kufuata vigezo na masharti ulitaka waziri mwenye dhamana na wizara ya habari achukue hatua gani!? na hata Mhe.Rais kabla ya kufanya mamuzi yoyote ilikuwa lazima apate ushauri kutoka kwa waziri mwenye dhamana ya habari...Hivyo Nape alichofanya ni sahihi kwa kuamua kuunda tume ya wadau na kuestablish juu ya nini kilitokea Clouds na kumjulisha Rais kwa ajili ya hatua stahiki...!Pia maamuzi ya Mhe.Rais kumuondoa kwenye nafasi yake hilo ndiyo swala watanzania wanajadili sasa kwanini imekuwa hivyo!Unamdanganya Nape wa watu. Hana ushujaa bali kajaa mihemko na viherehere visivyo na kifani. Nape kama nani aunde tume ya kumchunguza Mteule mwenzie wa Rais? Ushujaa ni kuvunja kiapo chake cha uwaziri kwa kumdharau Rais wa nchi hadharani? Jitafakarini. Ama hamna akili iliyo sawasawa ama nanyi ni kati ya mashabiki msiochunguza mambo kwa jicho la tatu. Ugomvi binafsi Nape augeuze vita ya serikali kwa serikali nani atamuacha?
Anahitaji Hekina na Busara nyingi katika hili lililotokea!!Nape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
Acha umaku dogo mwenye nchi ni mwananchiNape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
Nape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
Makubwa haya,yaani Bashiteeeeeeeee ulinganishe na Nape aaaah wapi na wapi Bashite hutaachwa hadi kieleweke.Very unfair huyu jamaa kalelewa na chama since wayb ack alijitoa kwenye uchaguz na kinana alidhihak na kutimiza kaz yake ya uenezi leo hii anamwagwa kisa Bashite ukistaajabu ya Jecha utayaona ya Pombe..this is Tz....
forget about those rhetoric.khaaaaaa...etiiiii...hivi katiba ya nchi yetu inasemaje kuhusu uhuru wa kujieleza?