Nape Nnauye kuongea na wanahabari

Nape Nnauye kuongea na wanahabari

Status
Not open for further replies.
IMG_20170323_114655.JPG
 


Mheshimiwa Nape Moses Nnauye anaatarajia kuongea na wanahabari leo, stay tuned Movie bado inaendelea.

Updates.


Tukutane saa nane kamili Protea Hotel karibu na St. Peter ntakutana na Wanahabari. Karibuni sana!

Ningekuwa Nape ningekaa kimya kabisa kwa siku kadhaa.
 
Hujui hata Gwajima alishirki kumtukana Jakaya kuwa hataki kumpa Magufuli Uennykt wa CCM
Gwajima kaingiaje hapa!?!?
Na kusema Jakaya hataki kumpa Magufuri uenyekiti ni tusi!?!?
Acha upashkuna sometimes tumia kichwa chako vizuri.
 
Gwajima kaingiaje hapa!?!?
Na kusema Jakaya hataki kumpa Magufuri uenyekiti ni tusi!?!?
Acha upashkuna sometimes tumia kichwa chako vizuri.

'Upashkuna' ukiona wa Kiume anatumia hiyo Lugha Jua Malinda yake yanafanana na ya Bash.ite
 
KUHUSU BUNGE MUBASHARA NAPE AMETUINGIZA CHOO CHA KIKE SO ACHA NAE AISOME..... ACHA NAE ALIE SASA JAPO NI SHUJAA KWA HILI.



KILA MTU LAZIMA AISOME NAMBA.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom