Sio wakati mwafaka kwa nape kuzungumza. Namshauri akae kimya. Tena ikibidi ajipe likizo aende zake jimboni akatulie.Nape shujaaaa...Nape wewe ni shujaaaa!Mungu akusimamie ktk hili!
Nakusamehe piaNape 2015 wakati wa uchaguzi na baada ya kuzima bunge live, nilikuchukia na ulikiwa unanikera sana lakini katika hili nakuunga mkono na roho yangu imekusamehe!
Mkubwa Mungu tu hapo. Maana ndio aliyeiumba Nchi. Na kwake kama bunadamu yanipasa niwe Mwana....!Mwana - mtoto
Means wewe ni mtoto tu
Kuna wakubwa / wazazi
Lol
Chama sio mama yake!Nape angekausha tu,anaweza kuvuliwa uanachama kabla ya saa 4 au hata kum-Saanane,Lissu aliwaambia mapemaaaaa
Kazi yako kuabudu binadamu, mwenye nchi? kainunua sh ngapi? huu uoga ndo unaoturudisha nyuma.Nape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
Mijitu kama hiyo ni mipumbavu kabisaKazi yako kuabudu binadamu, mwenye nchi? kainunua sh ngapi? huu uoga ndo unaoturudisha nyuma.
Yah! Angekaa kimya. juhudi zake mbona tumeziona!!!!Nape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
Haijalishi, ujumbe umefika na nimefurahi jinsi ulivyo penya kwenye hilo likibuyu lililo bebwa na shingo yako.'Upashkuna' ukiona wa Kiume anatumia hiyo Lugha Jua Malinda yake yanafanana na ya Bash.ite
Ushujaa kaanza lini? Kuzuia bunge live; kusimamia sheria kandamizi ya habari au kumtetea WEMA Sepetu au kujaribu kumtekenya Bashite? Aliambiwa kuwa CCM usigeuke nyuma utageuka jiwe nae akatamani kujaribu.Nape shujaaaa...Nape wewe ni shujaaaa!Mungu akusimamie ktk hili!
Ile Mzee Makamba alikuwa na Eddo wakamlia timing Nape na Mzee Makamba akamwambia Nape hakuna njia 'Kinachofungwa .......na ......kinafungwa pia. Naona walitaka wamfute uanachama kabisa. JK ndo aliokoa jahazi. Lakini sasa hali ni ngumu zaidi kwani Uncle Magu na nguvu za kikatiba alizokua nazo uchanganye na ubabe wake pamoja na visasi atampa jamaa wakati mgumu sana akipenda. Hivyo nape awe na option zaidi ya moja pamoja na maisha/siasa nnje ya CCM, kwani sioni nani atamtetea kwa Uncle wangu Magu (naweza nika sasahishwa). Magu atajiuliza pia athari za Nape kubwa zitakuwa akiwa nnje au ndani ya CCM?Unajua kuwa Nape aliwahi kufutwa UVCCM 2007 na Mzee Makamba akasema Rufani ya Nape imefungwa mbinguni na Ardhini?
Wewe ni ccm?Upinzani wanamjaza upepo Nappe.!
Injinia wangu ni maswaibu gani yamekukumbuka siku hizi?ajivue ubunge na ahame chama, otherwise akae kimya na ndio kipimo cha busara
Kweli ww muoga tunajenga taifa la watu waoga Bila kuhoji tutapelekwa sana, go Nape kwenye ukweli simamia ukweliNape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya

Haya bana nimekuelewaMkubwa Mungu tu hapo. Maana ndio aliyeiumba Nchi. Na kwake kama bunadamu yanipasa niwe Mwana....!
Umehifadhi wapi uwezo wako wa kufikiri.?
Au ndio kulewa madaraka mpaka mnanifananisha na Mungu. Adhabu ipo njiani amini nakuambia.
NITAMKUMBUKA KWA KUZUIA BUNGE LIVETasnia hii ya habari itaendelea kumkumbuka sana Nape kwa muda mrefu kwa uthubutu wake. Ni ajali ya kisiasa.