Nape Nnauye kuongea na wanahabari

Nape Nnauye kuongea na wanahabari

Status
Not open for further replies.
Wale waliokuwa wanamshangilia Mkulu wanazidi kupungua [HASHTAG]#Viva[/HASHTAG] Nape Nnauye, wewe ni JEMBE.....
 
Nape angekausha tu,anaweza kuvuliwa uanachama kabla ya saa 4 au hata kum-Saanane,Lissu aliwaambia mapemaaaaa
Hakuna haja ya unafiki. No time for self-preservation. Tunataka watu kama Nape. wakikuvua uanachama na jimbo likabaki wazi utalichukua kiulaini kwa chama chochote utakachochagua. Wakitokea waty 4 tu kama Nape Magufuli ataanza kutafakari.
 
Nape kwani uki kaa kimya ukalinda heshima kunatatizo mbona ushapewa heshima hadi hapo tuu uliopofikia
 
Hakuna haja ya unafiki. No time for self-preservation. Tunataka watu kama Nape. wakikuvua uanachama na jimbo likabaki wazi utalichukua kiulaini kwa chama chochote utakachochagua. Wakitokea waty 4 tu kama Nape Magufuli ataanza kutafakari.
Hata mie nimewaza, kama watamvua uanachama ili afe njaa wananchi tuungane achaguliwe kupita chama chochote atachopenda hata kama ni chama cha Mwl Kisandu. Hii ndio iwe zawadi yetu kwake kwa kukubali kuachia Uwaziri maana ukimgusa Bashite husalimiki.
 
NAPE ni SHUJAA
Namuombea kwa Mungu Amwongozee katka maisha yake haya mapya

MUNGU YU NAYE
 
Kutoka vita ya ufisadi hadi vita ya wanaompinga Daud.Sasa hakuna veti fake, hakuna ufisadi kilichobaki ni timua timua.Watanzania tujilaumu wenyewe, haiwezekani rais anapiga push-ups jukwaani halafu bado tukamchagua aongoze kidiplomasia.Mabadiliko yanahitajika maana historia mpya inaandikwa as we comment
Tumeipenda wenyewe
 
Na mm nimehisi kitu kama hicho...mbona taarifa ya msigwa haijasema kuwa katenguliwa.

Ila haijasema pia kama kajiuzulu...au labda mkulu katoa maelekezo taarifa iandikweje. Duuu hii mikanganyiko ya awamu hii..Mungu tu atusaidie kwa kweli.

Halafu mbona signature ya msigwa huwa inakuwa tofauti tofauti,, au wakati mwingine anakuwa amesimamiwa na mkulu wakati akisaini kwa hyo anatetemeka.
Mimi naungana na ww
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom