realsam
JF-Expert Member
- Jan 4, 2013
- 289
- 135
BASI NAPE ANGEJIUZULU PALEPALE NDO ANGEKUWA SHUJAAMagufuli alikiri kuwa yeye ndie aliezuia bunge live.
BASI NAPE ANGEJIUZULU PALEPALE NDO ANGEKUWA SHUJAAMagufuli alikiri kuwa yeye ndie aliezuia bunge live.
Tatizo la NAPE amekuwa mpuuzi sana. Hakuna wizara ya kula bata tena hata ambayo huwezi kupata stress za kutumbuliwa kama wizara ya NAPE. Tatizo lake amejichomeka chomeka kwenye matatizo hata yasiyomhusu mpaka kibarua kimeota nyasiKazi kweli kweli, Nape anaenda kuaga ameshapangiwa kuwa balozi Wa nchi Fulani nyie ondoeni shaka, chama kipo makini,Na magazeti ni wakati wenu kupata faida nono kwa habari za udaku
Mtu kaja"Katiba hii imenipa Madaraka makubwa sana, siku atakuja mtu ataitumia atakavyo na kuwa kama Mungu". - Mwl. Nyerere 1982.

Kazi yako kuabudu binadamu, mwenye nchi? kainunua sh ngapi? huu uoga ndo unaoturudisha nyuma.
Kazi yako kuabudu binadamu, mwenye nchi? kainunua sh ngapi? huu uoga ndo unaoturudisha nyuma.
Nape kaa kimya ndugu yangu mshukuru Mungu utatumiwa majeshi usicheze na mwenye nchi



Wenye nchi ni sisi watanzania. Sisi ni kama mwenye gari na Magufuli ni dereva. Sasa kuwa dereva kusikufanye ukadhani wewe ndiye mwenye gari! Umekabidhiwa tu gari kwa muda. Na pia muda wowote unaweza kunyanganywa gari na mwenyewe, sisi wananchi, wenye nchi! Kama huamini muulize ghadafi rip, rais wa zsmaniNape kaa kimya ndugu yangu mshukuru Mungu utatumiwa majeshi usicheze na mwenye nchi
BullshitNape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
Nape kwani uki kaa kimya ukalinda heshima kunatatizo mbona ushapewa heshima hadi hapo tuu uliopofikia
Ukiona Wapinzani wako wanakusifu ujue umekosea mahali!Huyu ni shujaa wa kwanza ndani ya CCM aliyeamua kupambana na dikteta uchwara. Hongera na pole sana Nape bila shaka historia ya nchi yetu itakutendea mema kwa kukuona ni shujaa wa kwanza kupambana na huyu dikteta uchwara ambaye sasa anazidi kuwa tishio kubwa ya amani ya Watanzania.
![]()
Inasemekana kadakwa na wakora
Anakwenda kuwashukuru waandishi wa habari kwa kushirikiana kwa kipindi chote cha uwaziri wake
Aliyezuia bunge live ni baba yake Bashite ndio maana Nape amechoka kutumiwa.NITAMKUMBUKA KWA KUZUIA BUNGE LIVE