LEWANGANGUMU
JF-Expert Member
- Feb 19, 2016
- 281
- 163
vi wondertuwe wapole tusubiri Viwanda
vi wondertuwe wapole tusubiri Viwanda
Ninacho sikitika ni kwamba Nape alitumika vibaya na serikali ya CCM.
Kufuta bunge na kuleta sheria za ovyo ovyo.
Katumika na katelekezwa.
Nonetheless nampa gwala kwa kusimamia ukweli.
Haijalishi kama alikosea kwenye hizo harakati za kutetea ukweli au la.
What matters alithubutu, he stood up pale serikali ilipo onekana kusuasua and he did the right thing.
Hata mimi namshangaa!!Nape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
Hivi kuna mwenye nchi?safari bado ndefu mweehNape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
Nape kaa kimya ndugu yangu mshukuru Mungu utatumiwa majeshi usicheze na mwenye nchi
Hata jina lako linakushuhudia ulivyo.Nape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
kumbe hii nchi ni mtu Fulani duuuuuuh me nilikuwa sijui hataNape kaa kimya ndugu yangu mshukuru Mungu utatumiwa majeshi usicheze na mwenye nchi
Tatizo LA Nape na vijana wengine wanaoingia kwenye siasa hawakuandaliwa wengi wamefika hapo kupitia majina ya baba zao matokeo take wanakosa misingi ya uongozi ikiwemo nidhamu huwezi waziri ukatoa tamko wakati Rais ameshatoa tamko
Hukumsikia Rais? Ni yeye aliyezuia matangazo ya moja kwa moja ya bunge! Nape alikuwa anapata lawama zisizo zake.Nape 2015 wakati wa uchaguzi na baada ya kuzima bunge live, nilikuchukia na ulikiwa unanikera sana lakini katika hili nakuunga mkono na roho yangu imekusamehe!
Kwa hoja hii nakubali tumekurupuka...sawa mkuu ngoja tusubiri tumsikie.Kwani mshajua anataka kuongelea nini??? Je kama anataka kumshukuru raisi???
Angekuwa anashindana naye asingejiuzulu.Ila kama kuna ukweli ni lazima usemwe.Mungu pekee ndiye hana mshindaniNape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
Nape tunafahamiana. Ninakuzidi umri, elimu na uzoefu. Wewe hujawahi ku-experience mabadiliko ya serikali hususan katika nchi violent kama Rwanda, Burundi, Turkey na kwingineko. Uzoefu wako ni huo muda mfupi uliokaa na kuishi CCM. Unajua uluvyokuja DSM, kupokewa CCM Lumumba kujitambulisha kuwa wewe ni mtoto wa Mzee Moses Nnauye (apumzike kwa amani), kupelekwa UVT na kisha kufika hapo ulikofikia. Huijui Dunia nyingine nje ya CCM. Ninakushauri; Kaa Kimya!
Yaani hao mafala wangeuka wote kama huyo mjanja sijui huyo anajiita mwenye nchi kama atasalimika.