Nape Nnauye kuongea na wanahabari

Nape Nnauye kuongea na wanahabari

Status
Not open for further replies.
Nape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
Pumbavu kabisa wewe, no wonder nchi iko hapa ilipo. Ni kwasababu ya watu kama wewe. Halafu na likes umepewa. Mods ni bora wangeweka na kitufe cha dislike/thumbs down.
Huu utumwa wa akili na wenzako waliolike pengine ni kwasababu ya ukabila tu.
 
Nape usije jarbu ukahama chama BRO Think like Men
 
nape uliniudhi kpind kile cha goli la mkono lilomuweka baba bashite kwenye ulaji..na niliendelea kukuchukia ulipotoa ile hoja ya bunge kutorushwa live. o.k. baadae nilikuja kugundua baba bashite ndo alikufosi laknn bado nilikuwa nakuchukia. msema kwel mpenz wa mungu kwa hiki ulichofanyiwa kisa umesimamia ukwel nimeamua kutoka ndani ya moyo wangu kukusamehe. utapewa wizara nyingine hilo ninajua kwa hakika! kazi kubwa uliyofanya na kinana kusimamisha ccm hawawez kukufanyia hivyo. hata ex prezidaa laxma waingilie kati.
 
Usisahau kuomba msamaha wa matusi kwa Lowassa,kuzuia bunge na mswaada kandamizi wa habar
 
Muacheni aongee ili awe huru jamani. Unajua akiongea atatoa kilichopo rohoni mwake alafu atakuwa huru.
 
KAMA WABUNGE BASHE, MSUKUMA NA MALIMA WALIWEKWA NDANI KATIKA VIKAO VYA CHAMA DODOMA, INAWEZEKANA PIA NAPE KUKAMATWA NA KUWEKWA NDANI LEO HII KABLA YA KUONGEA NA WAANDISHI WA HABARI KWA TUHUMA ZA UHAINI. HAKIKA NAPE UMEKUWA WAZIRI NYOTA NA KWA USHUJAA KATIKA AWAMU HII, UKIFUATIWA NA UMMY MWALIM. KAMA WENZIO WALIOFUKUZWA CHAMANI, USIFANYE UAMUZI WOWOTE KWA PUPA. JIUNGE NA TIMU YA WASHINDI NDANI YA CCM. 2020 INAKUJA.
ummy mwalimu ?
 
Sitashangaa nikisikia Nape katiwa kizuizini. Ama kabla hajaongea, au baada ya kuongea na waandishi wa habari.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom