Gololi One
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 575
- 365
Wamuache tu jamani Nape
Wala asihame. Tumeshaona ujasiri wake. Kuhama sio lazima iwe ongezeko la kura upinzani. Mawazo ya ujasiri ni bora zaidiKwanza nikupe pole sana, hizi ndizo gharama za kuutetea ukweli daima. Lakini kumbuka kwenye siasa hakuna rafiki wala adui wa kudumu. Bila wewe na mzee Kinana kuifufua CCM leo tungekuwa tunasema mengine.
USHAURI:
Ninayeandika haya ni kiongozi ndani ya UKAWA, tungekuhitaji sana kwetu na tunakuhitaji sana lakini siyo saa hizi. Kwa jinsi nchi inavyoendesshwa tunahitaji wapinzani ndani ya CCM. Tunawahitaji wengi sana.
CCM inafika mwisho lakini tunataka kifo chake kitoke ndani ili utabiri wa mwalimu ukamilike. Nadhani umenielewa na nitarudi ku-comment chochote baada ya wewe kuonyesha msimamo wako.
Asante
Kuna taarifa amekamatwa na Polisi. Hazijathibitishwa.
Kabla hajafika kwenye vyombo vya habariSitashangaa nikisikia Nape katiwa kizuizini. Ama kabla hajaongea, au baada ya kuongea na waandishi wa habari.
Nchangamoto zinakufanya uitwe shujaaNape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya