Mkuu ni TZ ya VI WONDER.Watanzania tujikite kwenye viwanda
Mkuu ni TZ ya VI WONDER.Watanzania tujikite kwenye viwanda
Duuuuuuuuu
newewe basi tumbua yoyote kama unamiliki nchi !!!!!!!! politcal slogan.Mwenye nchi ? Nchi yetu sote hakuna mwenye hati miliki
Kwani maana ya ubinadam ni nini?Ama kweli siasa haina rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu,nashangaa sana kuona Nape leo kawa shujaa wa watanzania,mmeshasahau yote dah!
Afu leo kuna wajinga wanamuita shujaa,.....Hii iwe fundisho kwa watu wote wenye tabia kama hizo, ni nani alitangaza kufuta Bunge Live, ni Nani alisema hata kwa Goli la Mkono na hila nyingine nyingi. Mbona hakutangaza kujiuzulu wakati wa Bunge Live ambalo lilikuwa na maslahi kwa wengi.
Kuna muda pale kwenye tweet mkuu...huenda tangazo liliandaliwa jana usiku akijua leo ataamka bado waziri?
we nawe wale wale, nchi ni ya wanachi na siyo Magu.Nape usishindane na mwenye nchi bora ukae kimya
Kwamba akimalizana na wapinzani atahamia kwingine na kwingine na kwingine..Nape angekausha tu,anaweza kuvuliwa uanachama kabla ya saa 4 au hata kum-Saanane,Lissu aliwaambia mapemaaaaa
Aliyezuia Bunge Live alishajitokeza na kukiri kuwa yeye ndiye kizuizi na hiy ilimsafisha Nape..Nape 2015 wakati wa uchaguzi na baada ya kuzima bunge live, nilikuchukia na ulikiwa unanikera sana lakini katika hili nakuunga mkono na roho yangu imekusamehe!
Kwani wanashindana yeye si anatoa alicho kiona au ndo unataka tusijue hakuna mashindano hapo kika mtu anatenda yampasayo kutendaMsimdanganye Mhe.Mbunge,hawezi kushindana na mwenye nchi.Nape ongea na media lakini refrain from exchanging words with Mr.President.
Ndio mnajidanganya ivoNchi ya wasukuma ohoooooooooooooooo
Like Ma...........like Ma............
Angejipa muda wa kutafakari na kisha kuongoea na kufanya jambo sahihi. Sasa hivi atakacho ongea kitatokana na msukumo wa jambo flani kama hasira au furaha iliyo pitiliza. Labda kama alijiandaa siku nyingi kwa hili lililotokea.bora aongee kile kilichopo moyoni mwake asikae nacho
Tena kama mcharo huo ndo ubinadam tuwekege na hakiba mana tunabadilikaGhafla NAPE kawa mtamu!!!
Unamjua huyu uliyemquote au akili yako umeweka rehani wewe unajua kukopi na kupaste tu..kasome historia ya wapi walikwenda kina kasanga tumbo, kambona na wengine..nchi hii km vijana ndio akili iko nyepesi hivi, nchi hii haina future!