Nape Nnauye kuongea na wanahabari

Nape Nnauye kuongea na wanahabari

Status
Not open for further replies.
Tatizo mnahusisha hili vuguvugu na vyama. Vyama baadae hili duduwasha linazidi kuwa kubwa
 
hujafa hujaumbika mungu tupe maisha marefu tuizike ccm mchana kweupe!!
 
Kwanza nikupe pole sana, hizi ndizo gharama za kuutetea ukweli daima. Lakini kumbuka kwenye siasa hakuna rafiki wala adui wa kudumu. Bila wewe na mzee Kinana kuifufua CCM leo tungekuwa tunasema mengine.

USHAURI:
Ninayeandika haya ni kiongozi ndani ya UKAWA, tungekuhitaji sana kwetu na tunakuhitaji sana lakini siyo saa hizi. Kwa jinsi nchi inavyoendesshwa tunahitaji wapinzani ndani ya CCM. Tunawahitaji wengi sana.

CCM inafika mwisho lakini tunataka kifo chake kitoke ndani ili utabiri wa mwalimu ukamilike. Nadhani umenielewa na nitarudi ku-comment chochote baada ya wewe kuonyesha msimamo wako.

Asante

UKWELI MZURI SANA, PIA ANA NAFASI YA KUKUA CCM UKIANGALIA UMRI WAKE ETC, STAY THERE BROTHER!
 
Napeeeee! Tuletee ubuyu mwaya,hatuna kazi sie hata ubuyu tuukose.!Leta tu.
 
Nape usijutie yaliyotokea watanzania tumekuelewa, muuachie aweke watu wake wa kuwaongoza, wewe ni msimamia Haki, mungu na watanzania tuu pamoja nawe.
 
NAPE ITS YOUR TIME!
YANI UKIICHA HII CHANCE HUIPATI TENA!
GO BROTHER!
HAKUNA KUHAMA AU LA WAKUFUKUZE NA WAKIKUFUKUZA NDO TAMU ZAIDI!
 
KAMA WABUNGE BASHE, MSUKUMA NA MALIMA WALIWEKWA NDANI KATIKA VIKAO VYA CHAMA DODOMA, INAWEZEKANA PIA NAPE KUKAMATWA NA KUWEKWA NDANI LEO HII KABLA YA KUONGEA NA WAANDISHI WA HABARI KWA TUHUMA ZA UHAINI. HAKIKA NAPE UMEKUWA WAZIRI NYOTA NA KWA USHUJAA KATIKA AWAMU HII, UKIFUATIWA NA UMMY MWALIM. KAMA WENZIO WALIOFUKUZWA CHAMANI, USIFANYE UAMUZI WOWOTE KWA PUPA. JIUNGE NA TIMU YA WASHINDI NDANI YA CCM. 2020 INAKUJA.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom