Postmalone naye ndani..Mheshimiwa anafungia VPN kumbe nae huwa anaangalia video za Pilau credit by spana konk
View attachment 2813156
Hawana akili 🚮Nilishangaa sababu waliyo itoa kwamba wanafungia vpn kwa sababu watu wanaangalia vitu visivyo na maadili, akili zao zilivyokua fupi kama njia ya kwenda chooni wanadhani Kila mtu akifungua VPN basi anataka kwenda kwenye tovuti za hovyo, shenzi kabisa
Inasikitisha sana 😭Aiseeehhh!!
🤣🤣🤣😁😁Postmalone naye ndani..
Eboo!!Huu bado ni unafiki, kwani mbona umesema wanaume tu??? Na wanawake tunapenda sana
Baba mtumishi ni wewe? 🤡si anafurahia jamani baada ya kazi ngumu serikalini
Shalom Mama mchungaji,Baba mtumishi ni wewe? 🤡
Tutakutenga kanisani otherwise ufanye toba na kufunga week nzima bila kutia chochote mdomoni. Ikiwezekana uende ukafunge na ukasali mlimaniShalom Mama mchungaji,
Natumai umeamka salama kipenzi changu katika Roho.
kwenye hilo,
huenda hakerz wameanza kunifatilia na kunichonganisha au pepo alinilemea upande moja, maana mapambano ni makali sana aisee....
Nakupenda sana, Mtumishi Mama mchungaji...
Pole ikiwa imekuvunja moyo...
Mama mchungaji kipenzi changu,Tutakutenga kanisani otherwise ufanye toba na kufunga week nzima bila kutia chochote mdomoni. Ikiwezekana uende ukafunge na ukasali mlimani
sikujuagaHuu bado ni unafiki, kwani mbona umesema wanaume tu??? Na wanawake tunapenda sana
Tukiwaambia kuwa hii nchi ngumu muwe mnaelewa.Mweshimiwa waziri Nape anaangalia ngono! Hii nchi inaongozwa na walaaniwa!
Punguza unoko mkuu🤪Tukiweka unafiki pembeni.
Kuna mwanaume mbabe mbele ya pilau kweli ? 🥴
Ni mwenyekiti .Lazima pia atakuwa ni member wa chaputa
porn na chaputa ni ndugu moja
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app