NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,853
Off course vpn za kutumia internet bure zina faida zake ikiwemo kuokoa gharama na nikiri niliwahi kuwa mdau lakini kuna kipindi nilichoka aisee, ilibidi nizihame moja kwa moja.
-siku yoyote inafungiwa hakuna uhakika itadumu
-Hapa bongo hatuna wabunifu wa kubuni mbinu zao kwa vpn ili hata zikifungiwa wao watoboe tundu lingine, wengi wanadownload mafile mengi sana ya nchi za zingine wanajaribu moja moja ama wanajaza vpn nyingi wanajaribu moja moja, mitandao ikishajua hako kambinu wakiziba ndo basi tena,
-unakuta mtandao unakubali vpn ila unaweza kutumia mb 100 tu kwa siku au wiki
-vpn zinamaliza sana chaji
-Kuna vpn hazipo stable zinakata kata inabidi uwe unazima na kuwasha kila mara
-speed nayo huwa changamoto, uaweza kuta mtandao ni moto lakini ukitumia vpn ni slow kama konokono
-kuwasha hotspot ili uunge vifaa vingine kwa wifi ni changamoto, ni mpaka uweke vikorombwezo vya ziada
-vpn zingine kutumika ni asubuhi tu
-matapeli wa vpn ni wengi, watakudanganya wana vpn nzuri na ukijiroga kuwatumia hela unaambulia block ama kutumiwa vpn mdebwedo zenye matatizo kama speed kobe
-masnich nao hawapo mbali wakiona mnatumia internet bure, ni roho za chuki na wivu kutopenda kuona wengine wanafaidi, wao wanaenda kuchoma wazi wazi kwenye comments za page za mitandao ya simu wanatoa ushirikiano utadhani ni waajiri wa hayo makampuni, just imagine!! 😂😂..
Kwa msoto huu nilikubali yaishe tu nikajongea taratibu kwenye mfumo rasmi.
-siku yoyote inafungiwa hakuna uhakika itadumu
-Hapa bongo hatuna wabunifu wa kubuni mbinu zao kwa vpn ili hata zikifungiwa wao watoboe tundu lingine, wengi wanadownload mafile mengi sana ya nchi za zingine wanajaribu moja moja ama wanajaza vpn nyingi wanajaribu moja moja, mitandao ikishajua hako kambinu wakiziba ndo basi tena,
-unakuta mtandao unakubali vpn ila unaweza kutumia mb 100 tu kwa siku au wiki
-vpn zinamaliza sana chaji
-Kuna vpn hazipo stable zinakata kata inabidi uwe unazima na kuwasha kila mara
-speed nayo huwa changamoto, uaweza kuta mtandao ni moto lakini ukitumia vpn ni slow kama konokono
-kuwasha hotspot ili uunge vifaa vingine kwa wifi ni changamoto, ni mpaka uweke vikorombwezo vya ziada
-vpn zingine kutumika ni asubuhi tu
-matapeli wa vpn ni wengi, watakudanganya wana vpn nzuri na ukijiroga kuwatumia hela unaambulia block ama kutumiwa vpn mdebwedo zenye matatizo kama speed kobe
-masnich nao hawapo mbali wakiona mnatumia internet bure, ni roho za chuki na wivu kutopenda kuona wengine wanafaidi, wao wanaenda kuchoma wazi wazi kwenye comments za page za mitandao ya simu wanatoa ushirikiano utadhani ni waajiri wa hayo makampuni, just imagine!! 😂😂..
Kwa msoto huu nilikubali yaishe tu nikajongea taratibu kwenye mfumo rasmi.