mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
CCM wakubali zama zao zinakwisha. Inatia aibu kuona vijana kama Nape na mvuta bangi wa Mtera hawasomi alama za nyakati. Shaib Akwilombe msaliti naye anazidi kuwakingia kifua ili ale. Unatoka kwenye ngazi ya kitaifa na kuhama chama na kutupwa kwenye vyeo vya kufinyangwa na Makamba nawe unaridhika! Haya matumbo na masaburi tusipoangalia yatafanya watu wafanyiwe kitu mbaya. Yetu mecho.