Jamani si mtujuze na sisi huyu february amefanyaje?
times will come when no one shall hear ccm and foolishness will have departed far away from tanzanians
Wakazi kiduuchu waliohudhuria mkutano wa hadhara katika viwanja vya MAGOMENI jijini Mwanza ulio andaliwa na CCM chini ya katibu mwenezi NAPE akiwa na lengo la kueleza sera ya chama hicho juu ya kujivua GAMBA,,WAMESHUHUDIA RUNDO LA MATUSI YA NGUONI KUTOKA KWA MAKADA HAO.
Ushauri wa bure kwa ccm,NAPE hawezi siasa bora wampost kwenye bendi yao ya TOT akawape burudani ya Taarabu,,ilibidi baadhi ya watu waanze kujisogeza na kuondoka,wengine waanze kunong"ona wakimshangaa baba huyu.kama vile haitoshi ilibidi baadhi ya vijana kwa kuchoshwa na upuuzi huo waanze kumjibu poale alipouliza maswali ya kipuuzi mfano;Nani alishawahi kuwaona viongozi wa CDM wakidhurika ktk
maandamano?JIBU Likapatikana wadau wakijibu...arushaaaaaaaaa,DK.SLAAAAAAA....AKAUDHIKA AKAANZA KUYAPOROMOSHA
1.WANAUME LAKINI OVYOOOOO
2.YAONE YANAWASHWAAAAAA
3.ANAE WASHWA ASHIKE UKUTA AONE VIDUME....
Namengine mengi ya aibu,,USHAURI....CCM mkiendelea kumtumia NAPE asie na SOCIOL ETHICS mtazidi kujiaribia ila kwa MWANZA LEO MMECHEMKA NA BWANA HUYO SIDHANI KAMA ATARUDI TENA MWANZA,,,,,
THANKS,NAWASILISHA
wameifunga nimejaribu kuifungua haifunguki,emu tudokezeni hapahapa maana hawa ma mods hata hatuwaelewi..kuna threadi inaelezea vizuri. Natumia simu siwezi kuku-link.
Bora wametukanwa, kwa weli acha watukanwe ili wakome,yaani bora. nadhani ndicho walichostahili, ni nini kibaya hawajakiskia juu ya CCM hadi waache kufanya shughuli zao kwenda kusikiliza hao wahuni?????CCM itawaeleza lipi la wao kulibeba vichwani mwao zaidi ya matusi?????Timu ya CCM iliyotumwa Mwanza Nape, Lusinde wamechemsha na wameishia kutukana.
Lusinde kasema atatupiga mimba, Nape asema atatupandisha ukuta. Kweli hawa ndio viongozi wa kitaifa?.
Cha kushangaza Mwanza hadi watoto hawataki habari za CCM.
Pia ni std 7 leaver, anajiita kibajaji, ndiye aliyemwangusha mzee Malecela ktk kura za maoni wakati wa kumpata mtu atakayegombea kwa tiketi ya CCM Jimbo la Mtera.Huyu jamaa ni Mb wa Mtera kupitia CCM
Timu ya CCM iliyotumwa Mwanza Nape, Lusinde wamechemsha na wameishia kutukana.
Lusinde kasema atatupiga mimba, Nape asema atatupandisha ukuta. Kweli hawa ndio viongozi wa kitaifa?.
Cha kushangaza Mwanza hadi watoto hawataki habari za CCM.