Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,596
- 5,787
Jamani mtoa habari simuelewi, habari siielewi.
Jaribu kukaa chini uandike jinsi tukio zima lilivyokuwa. Naamini ktk mengi aliyosema kuna mazuri na mabaya. Kama umeamua kutuhabarisha naomba usituchagulie, acha tuzichambue wenyewe.
Elewa hapa kuna watu wa aina tofauti. Acha kuelezea hisia zako zinazoongozwa na ushabiki, eleza hali halisi ilivyokuwa.
Acha ushabiki.
Jaribu kukaa chini uandike jinsi tukio zima lilivyokuwa. Naamini ktk mengi aliyosema kuna mazuri na mabaya. Kama umeamua kutuhabarisha naomba usituchagulie, acha tuzichambue wenyewe.
Elewa hapa kuna watu wa aina tofauti. Acha kuelezea hisia zako zinazoongozwa na ushabiki, eleza hali halisi ilivyokuwa.
Acha ushabiki.