kwa nini mnatumia muda wenu kusikiliza upuuzi na wapuuzi!? manage your time for the better of your good plans!
imekua ivyo tena?Nape sasa hivi yupo hapa mwenge kwenye kijiwe falani hivi, yupo na jamaa flani kama mwarabu, kila saa anamshika nape bega....aseeee!!
Naona mahari itapelekwa hivi karibuni.
kwa nini mnatumia muda wenu kusikiliza upuuzi na wapuuzi!? manage your time for the better of your good plans!
kibonde anamuuliza mke wake eti anaonaje utendaje kazi wake yeye(kibonde).
Clouds ni kisima, utarudi kutafuta maji tu! yakishakatika....
imekua ivyo tena?
Labda wewe mtumwa wao.
kwa hiyo hawa wanaoreport sasa hivi ni watumwa ... maana sugu ametoa tamko hakuna kusikiliza clouds wakampigia makofi huku wakikejeli clouds leo hii wanarusha thread kuhusu clouds ...
wengine wanaroho za kutu shibuda huyo, kwa hio sugu roho yake... mnyika kaenda cloud inaonyesha cloud ni radio ya waru wenye kuchukia wana yao
Saa nyingine unakuwa na akili saa nyingine unakuwa kilaza.
Nape anaisifia Clouds kwa kupiga muziki wenye maadili. He he he he kanga moko ndembendembe ndiyo maadili hayo?
Mwita25, sishangazwi na kauli hizi, humu jf tuna hate preachers kibao!.Irrelevance! Sasa ulitaka amuongelee vibaya mtu aliyekufa?