Nape & Kibonde live on Clouds tv

Nape anasema kuna watu wanaongea matusi majukwaani na wanatuma wananchi watupie mawe msafara wa rais.
Sasa anachambua nyimbo ya mzee Nnauye.
 
Nape anasema clouds imefanikiwa kutunza na kukuza mziki wa tanzania, anasema clouds fm unaweza kuisikiliza mbele ya baba mkwe na mama mkwe coz ni radio ambayo hawapigi nyimbo za hovyo.
 
Nape kamaliza na sasa anamuaga kibonde na anasema wananchi wamezidi kuiamini CCM.
 
Duuuu kweli watu mnamoyo kuisikiliza clouds ni sawa na kumwangalia jk kwenye tv natapika!
 
mwantumu mahiza anaaga kwa kusema jahazi ni kipindi kinachotoa ujumbe kwa jamii na yeye ni mdau wa kutuma sms ktk kipindi hiki.
 
Back
Top Bottom