Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,012
sasahivi matangazo
nape usoni kajaaliwa!
Nape anasema clouds imefanikiwa kutunza na kukuza mziki wa tanzania, anasema clouds fm unaweza kuisikiliza mbele ya baba mkwe na mama mkwe coz ni radio ambayo hawapigi nyimbo za hovyo.
Nape anaisifia Clouds kwa kupiga muziki wenye maadili. He he he he kanga moko ndembendembe ndiyo maadili hayo?
Tena alikazia kwa kusema hajawai kusikia matusi ktk radio hiyo.hapa si anawatukana au sijakusoma vizuri?