Nape & Kibonde live on Clouds tv

Nape & Kibonde live on Clouds tv

Mwantumu mahiza anamnukuu sheikh abdul jibril kuhusiana na maadili ya vijana.
 
Nape anaisifia Clouds kwa kupiga muziki wenye maadili. He he he he kanga moko ndembendembe ndiyo maadili hayo?


Ameshazoea uongo na kudanganya wa TZ ila sasa tunasema ni mwisho. Dawa ya ni EDO LOWAS.
 
kibonde anasema kayanda anaumia roho sana coz hauzi sura kama yeye anavyouza sasa clouds tv
 
Sasa hivi anaongea Joyce Shebe. Anasema eti kusaka nyoka. Hivi kusaka nyoka ndiyo nini wakuu.
 
kwa nini mnatumia muda wenu kusikiliza upuuzi na wapuuzi!? manage your time for the better of your good plans!
 
kibonde anamuuliza mke wake eti anaonaje utendaje kazi wake yeye(kibonde).
 
Back
Top Bottom