Mwita25
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 3,831
- 1,164
mwantumu mahiza anaaga kwa kusema jahazi ni kipindi kinachotoa ujumbe kwa jamii na yeye ni mdau wa kutuma sms ktk kipindi hiki.
Mwantum bado hajaaga, anaendelea kuongea.
mwantumu mahiza anaaga kwa kusema jahazi ni kipindi kinachotoa ujumbe kwa jamii na yeye ni mdau wa kutuma sms ktk kipindi hiki.
mwantumu mahiza anasema mwimbo wa 'tatizo la ajira kwa vijana ni bomu litakalolipuka' ni mwimbo mbaya tanzania.
Nape anaisifia Clouds kwa kupiga muziki wenye maadili. He he he he kanga moko ndembendembe ndiyo maadili hayo?
Clouds cku hizi imekuwa redio CCM??
we si umesema Mwantumu ameshaaga, acha kupotosha umma wewe
Wanabodi, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!.
Kibonde alikuwa na mdomo mchafu sana siku za nyuma, lakini sasa amebadilika sana.
Tufike mahali tumpe pongezi zake. Jana nilimsikia akimzungumzia David Wakati (RIP), amezungumza vizuri sana!.
Big Up Kibonde!.
Unauliza makofi polisi?
Anauliza wachaga Chadema. Tehe tehe tehe
unamaana gani au atawashikisha ukuta.ngoja cameron awasikie atapanda ndege sasa hivi aje hapo studio si ndiyo walewale tu?