Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,402
- 320
Producer mbuzi, ushauri kaa nao mwenyewe, we sema upewa ulfu ngapi na rostam uje ulete upuuzi wako hapa
sina imani na utimilifu wa ufahamu wako,
ama lah! fikra zako zimefungwa
Producer mbuzi, ushauri kaa nao mwenyewe, we sema upewa ulfu ngapi na rostam uje ulete upuuzi wako hapa
Mkuu naamini dhana nzima ya kuwa kiongozi au mwanasiasa kuna watu hawajaijua
Kuwa kiongozi ni mfano kuanzia kuongea kwako, matamshi yako, utendaji wako na the way unavyopambanua mambo kama kiongozi ambapo unatakiwa utoe dira utoe miongozo na uonyeshe mafo kama kiongozi.
dhana hiyo kwa viongozi wengi haipo ndo maan wanatoa matamko halafu wanashindwa kuyasimamia na wanashindwa kusimamia ahadi zao walizotoa
Wanashindwa kuzitekeleza kwa kuwa wamelemewa na kujitathimini kwanza wao kama wao na sio wale waliowachagua au wale waliowapa ahadi za maisha bora wanatafuta kwanza ufalme wao wanasahau kuwa kuna wengine nao wanahitajika wafike pale walipo wao wanajisafishia njia za maisha yao badala ya kusafisha njia za wananchi waliowafikisha pale walipo wanaziona raslimali za taifa kama zao na wao ndio wana dhamana ya matumizi yake wanasahau kuwa wananchi wote wana haki ya hizo rasilimali na wanatakiwa wafaidike nazo. Wanajijengea himaya ya kifalme ndani ya nchi ya utawala wa demokrasia wanasahau kuwa wamezungukwa na wananchi maskini na umma ambao siku wakichoka wanakuwa kama siafu waliochokozwa kutoka kwenye kundi lao.
Tufike mahali akina NApe waelewe kuwa wako kwenye wakati gani na ni upepo gani unapita kwa sassa na kuwa wanachi wa sasa wanasoma alama za nyakati na wanasikiliza kila unalosema na kwenye hotuba zako na maneno yako hawakosi kitu cha kuongea na kukupinga
sasa km nape hajachaguliwa na watz nazunguka nini nchi nzima nakugawa tshirt bila kukaribishwa? mimi naamini kwakuwa ni kiongozi wa CCM na CCM ndo chama kinachotawala, basi amechaguliwa na watz maana watz ndo wamechagua CCM chama cha wavua magamba.
sina imani na utimilifu wa ufahamu wako,
ama lah! fikra zako zimefungwa
Precisely!! yaani yule mama ni wa-wote! Nasikia huko mjengoni ni hatari tupu! Mumewe alikuwa ni ashomire fulani pale UDSM alibwaga manyanga baada ya mafumanizi ya mara kwa mara tena kwenye his matrimonial bed! Akasota sana, then siasa za Bongo zikamuokoa. Akiwa mjengoni akajitangazia ndoa na jamaa mmoja wa mkoani kwake, ambaye yupo TISS na amemtaliki pia mkewe, hawakumaliza muda jamaa naye kabwanga manyanga baada ya kupelekewa picha za ushahidi wa mamaa akibenjua amri ya sita ndani ya gari na mmoja wa memba wa Ze Commedy! sasa Nape kajikita kwa jimama huyo, mchezo ulianzia pale Nape alipokwenda mkoani Singida kuwa msimamizi wa uchaguzi na kumchakachulia matokeo na kumwibua mshindi, nafasi ambayo wanawake wa Singida waliapa kutompa tena. Nape namhurumia anahangaika na mfupa uliowashinda fisi! Afadhali akamuangukie mkewe, ambaye wana historia naye kwani zimwi likujualo halikuli likakwisha.
Huu ndiyo ubaya wa chama cha magamba, uongozi wanapeana tu, bila mtu kuwa na sifa. Mwaka huu JMK atakoma na kugawa vyeo hata kwa wendawazimu kama akina NApe na Makamba
- Misguided sana ndio maana nina tatizo sana na mawazo yako against Nape, Tanzania hatujamchagua Nape kutuletea maendeleo tumechagua wabunge na Rais, Madiwani on that matter, sasa iweje kumshupalia maendeleo kiongozi aliyechaguliwa na chama chake kutetea na kusimamia ilani yao?
- Ndio maana ninasema hapa kuna misguidance, ingawa pia ni haki yako kuamini unavyoamini!
William @ NYC, USA.
sasa km nape hajachaguliwa na watz nazunguka nini nchi nzima nakugawa tshirt bila kukaribishwa? mimi naamini kwakuwa ni kiongozi wa CCM na CCM ndo chama kinachotawala, basi amechaguliwa na watz maana watz ndo wamechagua CCM chama cha wavua magamba.
Mkuu nadhani wanaona wasubiri mpaka moto uje uingie ndani ya nyumba wajaribu kuuzima kama wataweza!
Kaka Willy, kumbuka kuwa kiongozi yeyote ni kioo cha jamii na ni role model hata kama ni kiongozi wa Kamati ya maandalizi ya harusi! Kiongozi awe wa chama chochote au popote maana yake ana watu/jamii anayoisimamia na kuiongoza yaani "watu" na si paka; hivyo kiongozi mbaya ni mfano mbaya kwa jamii na hafai! nape ni kiongozi wa chama kilichopo madarakani hivyo influence yake ni kubwa pia, matamko yanayoweza kuikwaza jamii na kuibua migongano na misuguano isiyo ya lazima hayatakiwi. Acha watu wampe ushauri, akiona unafaa aufanyie kazi, la haufai apuuze - thats all!
Unapokiona kitoto cha nyoka kinazunguka kwenye nyumba yako na ukakiacha kwa kuw ani kitoto cha nyoka kuna siku kinavyozidi kula nafaka ndani ya nyumba yako kitakuwa chatu na hutoweza tena kumtoa ndani ya nyumba na atakumeza
The truth is open no one can hide! who don't know about Nape now a days? he is doing mambo ya ajabu kabisa!
- Mhhhhhh! Mkuu mbona personal sana kuliko Taifa, I mean utawala wa Chama kimoja cha siasa katika siasa Za vyama vingi, hauwezi kuwa ishu unless kama kuna ushahidi wa kutosha na wa wazi kwamba kuna kiongozi wa chama flani anafanya matendo kinyume na Taifa kwa kutumia chama chake, I begg to respectfully differ na mtoa mada hii,
- Mh. Nape ni kiongozi wa CCM ametimiza masharti ya uongozi ndani ya CCM, ndio maana wamempa nafasi, sasa CCM ndio wanaweza kudai kwamba hafai, 1. lakini sio sisi wananchi wengine ambao sio wanachama wa CCM, mimi ni mwanchama wa CCM, ninaamini kwamba Mh. NaPE ANA mandate ya CCM na pia kuungwa mkono na Mwenyekiti wa CCM Taifa kwa yote anayoyafanya kwa CCM, 2. US wanasema kwa vile W.Bush alikuwa anachukiwa na Dunia nzima, basi ni Rais anayewafaa sana Wamarekani, so labda hizi kelele nyingi sana kwenye Blogs dhidi ya Mh. Nape, ni kwamba anawafaa sana CCM, can you Imagine kiongozi wa CCM, anayeweza kuja hapa na kukubalika kwa wakati huu?
- 3.I mean tumuache MH. Nape afanye kazi ya chama chake,4. kama anaharibu ni kwenye chaguzi ndio tuwaelimishe wananchi madhara ya uongozi wa Nape, I mean it is becoming a Nape fiesta sasa hapa JF, kama ametoa hoja nje ya mstari wa Taifa sawa, lakini hoja ambazo ni samba mba na Ilani za chama chake, then it is not our business, labda tushambulie the Ilani, lakini sio the messenger, otherwise tunaangaukia kwenye ule ule mtego wa siasa za majina badala ya hoja muhimu kwa taifa, zilizotufkisha hapa tulipo hili taifa!
William @ NYC, USA.
Duh! hebu ni PM hilko jina namimi nielewe mkuu
- Misguided sana ndio maana nina tatizo sana na mawazo yako against Nape, Tanzania hatujamchagua Nape kutuletea maendeleo tumechagua wabunge na Rais, Madiwani on that matter, sasa iweje kumshupalia maendeleo kiongozi aliyechaguliwa na chama chake kutetea na kusimamia ilani yao?
- Ndio maana ninasema hapa kuna misguidance, ingawa pia ni haki yako kuamini unavyoamini!
William @ NYC, USA.
Ndugu wapenzi wa JF, miezi michache iliyopita kijana mwanasiasa machachari kwa jina la Nape Nnauye baada ya kukabidhiwa rungu, aliwapa wa-tz na hasa wanachama wa chama chake cha magamba matumaini kwamba atashinda vita ya ufisadi ndani ya chama hicho. Kwa majigambo alisema mafisadi (hasa mapacha watatu) waondoke ktk chama chake katika siku 90. Vinginevyo, watakiona cha moto. Nashindwa kuelewa kama huyu Nape bado yuko hai au ameshakufa? Nauliza hivi maana ghafla amelowa, amenywea na amefyata kama mbwa aliyemuona chatu! Nisaidieni ndugu zangu yapi yamemfika Nape? Masikini Nape, Au labda alijaribu kupima kina cha bahari kwa kutumia rula?