Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 752
- 182
NINYI CHADEMA NI WABAYA SANA!
YOU KNOW HOW TO FRUSTRATE SOMEONE!!
yaani mwadiriki kumzuiya mwenzenu kupambani nanyi kwa mbinu hii ya kudharau hoja zake!! hamumtendei haki ndugu zanguni!!
Nape wasikukatishe tamaa!! kazi buti mpaka kieleweke! CCM ina wenyewe mwaya!! walishaona wapi kupe anatoka kwenye Ng'ombe akishang'ata? endelea tu kung'ate ili ujirahisishie safari ya the Hague Mwaya!! si unajua tena huko mamtoni hapafanani na Kitai wala ngalamtoni?!!!!
YOU KNOW HOW TO FRUSTRATE SOMEONE!!
yaani mwadiriki kumzuiya mwenzenu kupambani nanyi kwa mbinu hii ya kudharau hoja zake!! hamumtendei haki ndugu zanguni!!
Nape wasikukatishe tamaa!! kazi buti mpaka kieleweke! CCM ina wenyewe mwaya!! walishaona wapi kupe anatoka kwenye Ng'ombe akishang'ata? endelea tu kung'ate ili ujirahisishie safari ya the Hague Mwaya!! si unajua tena huko mamtoni hapafanani na Kitai wala ngalamtoni?!!!!