Nape JF sio sawa na Facebook

- Mhhhhhh! Mkuu mbona personal sana kuliko Taifa, I mean utawala wa Chama kimoja cha siasa katika siasa Za vyama vingi, hauwezi kuwa ishu unless kama kuna ushahidi wa kutosha na wa wazi kwamba kuna kiongozi wa chama flani anafanya matendo kinyume na Taifa kwa kutumia chama chake, I begg to respectfully differ na mtoa mada hii,

- Mh. Nape ni kiongozi wa CCM ametimiza masharti ya uongozi ndani ya CCM, ndio maana wamempa nafasi, sasa CCM ndio wanaweza kudai kwamba hafai, lakini sio sisi wananchi wengine ambao sio wanachama wa CCM, mimi ni mwanchama wa CCM, ninaamini kwamba Mh. NaPE ANA mandate ya CCM na pia kuungwa mkono na Mwenyekiti wa CCM Taifa kwa yote anayoyafanya kwa CCM, US wanasema kwa vile W.Bush alikuwa anachukiwa na Dunia nzima, basi ni Rais anayewafaa sana Wamarekani, so labda hizi kelele nyingi sana kwenye Blogs dhidi ya Mh. Nape, ni kwamba anawafaa sana CCM, can you Imagine kiongozi wa CCM, anayeweza kuja hapa na kukubalika kwa wakati huu?

- I mean tumuache MH. Nape afanye kazi ya chama chake, kama anaharibu ni kwenye chaguzi ndio tuwaelimishe wananchi madhara ya uongozi wa Nape, I mean it is becoming a Nape fiesta sasa hapa JF, kama ametoa hoja nje ya mstari wa Taifa sawa, lakini hoja ambazo ni samba mba na Ilani za chama chake, then it is not our business, labda tushambulie the Ilani, lakini sio the messenger, otherwise tunaangaukia kwenye ule ule mtego wa siasa za majina badala ya hoja muhimu kwa taifa, zilizotufkisha hapa tulipo hili taifa!


William @ NYC, USA.


Heshima Mbele mkuu!
Asante kwa mchango wako! Mimi ni mtu wa kawaida sana siwezi hata kufikia robo ya wewe vile ulivyo katika mambo ya siasa hata kimaisha! Nimesoma ulivyoandika, nilitarajia kama mtu mwenye uwezo mkubwa utalielewa lengo la barua yangu kwa Nape! Nimesikitika kwa sababu umeshindwa kuchambua mada vizuri! Lengo kubwa ni kumshauri Nape na si kushuri CCM! Mambo hayo niliyoyazungumzia yanamhusu Nape zaidi na jamii anayoishi! Kumbuka Nape ni kiongozi ambaye tunataka kujifunza kwake lakini mambo anayofanya ni ya kawaida na kitoto sana wakati mwingine! mfano ile facebook yake ina mambo ya ajabu ambapo hata facebook wall ya mdogo wangu wa darasa la nne inamambo ambayo naweza kwenda kusoma nikajifunza! Uistetee uovu wa mtu wakati huu ambao taifa linategemea ukombozi! Sisi wananchi hatuguswi zaidi na siasa za kusubiri uchaguzi tunachotaka ni maendeleo sasa na maisha bora! Ndiyo maana uvumilivu unazidi kuisha! Mheshimiwa kama Nape anazungumza hayo kwa niaba ya CCM basi wafungue account za mawasiliano kwenye mitandao zenye jina la CCM. Nadhani pia ulifurahi sana ulipooona wazee wetu wanagombania kanga za CCM Singida!
Kwa taarifa yako mkuu, sisi wanachi tunateseka sana maisha ni magumu nyinyi mko USa tena kwa pesa yetu sisi vilaza mnayoipata kutokana na makusanyo mali asili zetu na vikorombezo vingi vingi mnavyoviweka! Ieleweke leo tunateseka lakini Mungu ana haki, atahukumu kama ilivyohaki! Siku hiyo wote tutapata haki na cha msingi ni haki ya milele, ni mara kusota katika ulimwengu wa sasa kuliko kuja kusota jehanamu milele! Samahani kama nimekukosea!
Radio Producer.
 
Nape endeleza libeneke wakosoaj wanaumwa ugonjwa wa kupindwananape so dalili kubwa nikuharisha so nasikia wao wanamisuli na mataulo tu

Mnamharibu mwenzenu bure yakija kumkuta nyinyi mnarudi kwenye mashimo yenu kama walivyo mifyooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
I dont give a shit on what happens to Nape and other Magambas..Any young Tanzania who become a leader through CCM he has made such a move for personal reasons,more obviously financial health..If not then i point out that he's not well balanced mentally...Its better to support nothing than supporting Magamba's party..CCM has been destroyed by those wazee,and I will be surprised if a talented young man of today can join and being a part of shits..I advice Nape to continue with the Magamba's style and I also advice those who abuse him to double the dose,not only to Nape and all other Young individuals of his kind.....Its time for we youth to realize all the wrong doings of CCM today will hurm us and our babies years to come...Nation first!!
 
I dont give a shit on what happens to Nape and other Magambas..Any young Tanzania who become a leader through CCM he has made such a move for personal reasons,more obviously financial health..If not then i point out that he's not well balanced mentally...Its better to support nothing than supporting Magamba's party..CCM has been destroyed by those wazee,and I will be surprised if a talented young man of today can join and being a part of shits..I advice Nape to continue with the Magamba's style and I also advice those who abuse him to double the dose,not only to Nape and all other Young individuals of his kind.....Its time for we youth to realize all the wrong doings of CCM today will hurm us and our babies years to come...Nation first!!

because he is after:mimba::mimba:
 
Ndugu wapenzi wa JF, miezi michache iliyopita kijana mwanasiasa machachari kwa jina la Nape Nnauye baada ya kukabidhiwa rungu, aliwapa wa-tz na hasa wanachama wa chama chake cha magamba matumaini kwamba atashinda vita ya ufisadi ndani ya chama hicho. Kwa majigambo alisema mafisadi (hasa mapacha watatu) waondoke ktk chama chake katika siku 90. Vinginevyo, watakiona cha moto. Nashindwa kuelewa kama huyu Nape bado yuko hai au ameshakufa? Nauliza hivi maana ghafla amelowa, amenywea na amefyata kama mbwa aliyemuona chatu! Nisaidieni ndugu zangu yapi yamemfika Nape? Masikini Nape, Au labda alijaribu kupima kina cha bahari kwa kutumia rula?
 
Heshima Mbele mkuu!
Asante kwa mchango wako! Mimi ni mtu wa kawaida sana siwezi hata kufikia robo ya wewe vile ulivyo katika mambo ya siasa hata kimaisha! Nimesoma ulivyoandika, nilitarajia kama mtu mwenye uwezo mkubwa utalielewa lengo la barua yangu kwa Nape! Nimesikitika kwa sababu umeshindwa kuchambua mada vizuri! Lengo kubwa ni kumshauri Nape na si kushuri CCM! Mambo hayo niliyoyazungumzia yanamhusu Nape zaidi na jamii anayoishi! Kumbuka Nape ni kiongozi ambaye tunataka kujifunza kwake lakini mambo anayofanya ni ya kawaida na kitoto sana wakati mwingine! mfano ile facebook yake ina mambo ya ajabu ambapo hata facebook wall ya mdogo wangu wa darasa la nne inamambo ambayo naweza kwenda kusoma nikajifunza! Uistetee uovu wa mtu wakati huu ambao taifa linategemea ukombozi! Sisi wananchi hatuguswi zaidi na siasa za kusubiri uchaguzi tunachotaka ni maendeleo sasa na maisha bora! Ndiyo maana uvumilivu unazidi kuisha! Mheshimiwa kama Nape anazungumza hayo kwa niaba ya CCM basi wafungue account za mawasiliano kwenye mitandao zenye jina la CCM. Nadhani pia ulifurahi sana ulipooona wazee wetu wanagombania kanga za CCM Singida!
Kwa taarifa yako mkuu, sisi wanachi tunateseka sana maisha ni magumu nyinyi mko USa tena kwa pesa yetu sisi vilaza mnayoipata kutokana na makusanyo mali asili zetu na vikorombezo vingi vingi mnavyoviweka! Ieleweke leo tunateseka lakini Mungu ana haki, atahukumu kama ilivyohaki! Siku hiyo wote tutapata haki na cha msingi ni haki ya milele, ni mara kusota katika ulimwengu wa sasa kuliko kuja kusota jehanamu milele! Samahani kama nimekukosea!
Radio Producer.

- Misguided sana ndio maana nina tatizo sana na mawazo yako against Nape, Tanzania hatujamchagua Nape kutuletea maendeleo tumechagua wabunge na Rais, Madiwani on that matter, sasa iweje kumshupalia maendeleo kiongozi aliyechaguliwa na chama chake kutetea na kusimamia ilani yao?

- Ndio maana ninasema hapa kuna misguidance, ingawa pia ni haki yako kuamini unavyoamini!


William @ NYC, USA.
 
- Misguided sana ndio maana nina tatizo sana na mawazo yako against Nape, Tanzania hatujamchagua Nape kutuletea maendeleo tumechagua wabunge na Rais, Madiwani on that matter, sasa iweje kumshupalia maendeleo kiongozi aliyechaguliwa na chama chake kutetea na kusimamia ilani yao?

- Ndio maana ninasema hapa kuna misguidance, ingawa pia ni haki yako kuamini unavyoamini!


William @ NYC, USA.


Hapo peenye Red sema CCM sio watanzania maana maana watanzania hawajamchagua kuwa kiongozi wao

Ila naomba pia nipingane nawe kuwa kama kiongozi yeye ni chachu ya maendeleo yaani kuhimiza na kuhamasisha maendeleo kw akutumia rasilimali zilizopo na kama mwanasiasa ambaye anasimamia maamuzi yeye pia ni nafasi ya kuhimiza maendeleo na kusaidia juhudi za wananchi katika kujiletea maendeleo yao wenyewe na kama amechaguliwa na chama chake anapaswa kusimamia ilani ya chama chake ambacho kinatawala katika kuhakikisha kuwa kunakuwa na maendeoe yaliyoahidiwa
 
- Mhhhhhh! Mkuu mbona personal sana kuliko Taifa, I mean utawala wa Chama kimoja cha siasa katika siasa Za vyama vingi, hauwezi kuwa ishu unless kama kuna ushahidi wa kutosha na wa wazi kwamba kuna kiongozi wa chama flani anafanya matendo kinyume na Taifa kwa kutumia chama chake, I begg to respectfully differ na mtoa mada hii,

- Mh. Nape ni kiongozi wa CCM ametimiza masharti ya uongozi ndani ya CCM, ndio maana wamempa nafasi, sasa CCM ndio wanaweza kudai kwamba hafai, lakini sio sisi wananchi wengine ambao sio wanachama wa CCM, mimi ni mwanchama wa CCM, ninaamini kwamba Mh. NaPE ANA mandate ya CCM na pia kuungwa mkono na Mwenyekiti wa CCM Taifa kwa yote anayoyafanya kwa CCM, US wanasema kwa vile W.Bush alikuwa anachukiwa na Dunia nzima, basi ni Rais anayewafaa sana Wamarekani, so labda hizi kelele nyingi sana kwenye Blogs dhidi ya Mh. Nape, ni kwamba anawafaa sana CCM, can you Imagine kiongozi wa CCM, anayeweza kuja hapa na kukubalika kwa wakati huu?

- I mean tumuache MH. Nape afanye kazi ya chama chake, kama anaharibu ni kwenye chaguzi ndio tuwaelimishe wananchi madhara ya uongozi wa Nape, I mean it is becoming a Nape fiesta sasa hapa JF, kama ametoa hoja nje ya mstari wa Taifa sawa, lakini hoja ambazo ni samba mba na Ilani za chama chake, then it is not our business, labda tushambulie the Ilani, lakini sio the messenger, otherwise tunaangaukia kwenye ule ule mtego wa siasa za majina badala ya hoja muhimu kwa taifa, zilizotufkisha hapa tulipo hili taifa!


William @ NYC, USA.

Kudos Williama,
Nape ni kioo cha CCM yote anayofanya, anayoandika, anayosema ndio taswira halisi ya CCM. Yupo kwa ajili ya CCM na sio Taifa. Hivyo mambo ya ngoswe waachiene kina ngoswe.

Ijengeni CDM kwa manufaa ya Taifa. Wasidieni viongozi wa Chadema kimaendeleo, kiseera, kimkakati na kimawazo. Na hao wa CCM waacheni wafu wazike wafu wao.
 
- Misguided sana ndio maana nina tatizo sana na mawazo yako against Nape, Tanzania hatujamchagua Nape kutuletea maendeleo tumechagua wabunge na Rais, Madiwani on that matter, sasa iweje kumshupalia maendeleo kiongozi aliyechaguliwa na chama chake kutetea na kusimamia ilani yao?

- Ndio maana ninasema hapa kuna misguidance, ingawa pia ni haki yako kuamini unavyoamini!


William @ NYC, USA.

Sawa mkuu, naona unatetea hoja katika ukweli na msingi wa juu wa fikira za kisomi nakubaliana nawewe! Nape ni kiongozi wa CCM na si Taifa, je kwanini anajihusisha na maisha ya Watanzania walidhurumiwa? Watu wamefiwa halafu anaropoka ropoka tu huoni hiyo ni mbaya? (Ndio maana nilimshauri kiyeye na sio kichama uzuzri umeleta kwenye chama lakini bado hata huku anamatatizo) Ameenda UDOM kukagua majengo je anahusikaje na ukaguzi wa majengo kiongozi wa CCM? huyu jamaa anahusishwa na jamii moja kwa moja! KIBAYA ZAIDI KUROPOKAROPOKA KUPIGA VITA WATU WANAOTETEA MASILAHI YA WATANZANIA! MKUU IPO SIKU MTATUKOMA TU TUMECHOKA NA UVUMILIVU! MMEKULA VYA WANYONGE KWA KUTOSHA SASA SUBIRI YENU YANAKUJA! KAMA UNAONA ANAYOYAFANYA NAPE NI SAHIHI POA HAMANA SHIDA! ILA SUBIRINI YANAKUJA YATAKAYOWAPA SHIDA WOTE WALIONYUMA YA MIGONGO MICHAFU YA MAFISADI!
 
Kudos Williama,
Nape ni kioo cha CCM yote anayofanya, anayoandika, anayosema ndio taswira halisi ya CCM. Yupo kwa ajili ya CCM na sio Taifa. Hivyo mambo ya ngoswe waachiene kina ngoswe.

Ijengeni CDM kwa manufaa ya Taifa. Wasidieni viongozi wa Chadema kimaendeleo, kiseera, kimkakati na kimawazo. Na hao wa CCM waacheni wafu wazike wafu wao.

Mkuu hakuna shida! Wewe endelea tu nakusema uyasemayo! najua chi hii ikitawaliwa na viongozi wenye malengo ya kuwasaidia watnzania watu wengi wataathirika kwa sabau wamebebwa na mafisadi kama umo andaa njia!
 
Hapo peenye Red sema CCM sio watanzania maana maana watanzania hawajamchagua kuwa kiongozi wao

Ila naomba pia nipingane nawe kuwa kama kiongozi yeye ni chachu ya maendeleo yaani kuhimiza na kuhamasisha maendeleo kw akutumia rasilimali zilizopo na kama mwanasiasa ambaye anasimamia maamuzi yeye pia ni nafasi ya kuhimiza maendeleo na kusaidia juhudi za wananchi katika kujiletea maendeleo yao wenyewe na kama amechaguliwa na chama chake anapaswa kusimamia ilani ya chama chake ambacho kinatawala katika kuhakikisha kuwa kunakuwa na maendeoe yaliyoahidiwa

Asante mkuu kwa kutoa mtazamo mzuri, nimegundua hekima na uadilifu siyo elimu ya juu!
 
Sawa mkuu, naona unatetea hoja katika ukweli na msingi wa juu wa fikira za kisomi nakubaliana nawewe! Nape ni kiongozi wa CCM na si Taifa, je kwanini anajihusisha na maisha ya Watanzania walidhurumiwa? Watu wamefiwa halafu anaropoka ropoka tu huoni hiyo ni mbaya? (Ndio maana nilimshauri kiyeye na sio kichama uzuzri umeleta kwenye chama lakini bado hata huku anamatatizo) Ameenda UDOM kukagua majengo je anahusikaje na ukaguzi wa majengo kiongozi wa CCM? huyu jamaa anahusishwa na jamii moja kwa moja! KIBAYA ZAIDI KUROPOKAROPOKA KUPIGA VITA WATU WANAOTETEA MASILAHI YA WATANZANIA! MKUU IPO SIKU MTATUKOMA TU TUMECHOKA NA UVUMILIVU! MMEKULA VYA WANYONGE KWA KUTOSHA SASA SUBIRI YENU YANAKUJA! KAMA UNAONA ANAYOYAFANYA NAPE NI SAHIHI POA HAMANA SHIDA! ILA SUBIRINI YANAKUJA YATAKAYOWAPA SHIDA WOTE WALIONYUMA YA MIGONGO MICHAFU YA MAFISADI!

Mkuu naamini dhana nzima ya kuwa kiongozi au mwanasiasa kuna watu hawajaijua
Kuwa kiongozi ni mfano kuanzia kuongea kwako, matamshi yako, utendaji wako na the way unavyopambanua mambo kama kiongozi ambapo unatakiwa utoe dira utoe miongozo na uonyeshe mafo kama kiongozi.
dhana hiyo kwa viongozi wengi haipo ndo maan wanatoa matamko halafu wanashindwa kuyasimamia na wanashindwa kusimamia ahadi zao walizotoa
Wanashindwa kuzitekeleza kwa kuwa wamelemewa na kujitathimini kwanza wao kama wao na sio wale waliowachagua au wale waliowapa ahadi za maisha bora wanatafuta kwanza ufalme wao wanasahau kuwa kuna wengine nao wanahitajika wafike pale walipo wao wanajisafishia njia za maisha yao badala ya kusafisha njia za wananchi waliowafikisha pale walipo wanaziona raslimali za taifa kama zao na wao ndio wana dhamana ya matumizi yake wanasahau kuwa wananchi wote wana haki ya hizo rasilimali na wanatakiwa wafaidike nazo. Wanajijengea himaya ya kifalme ndani ya nchi ya utawala wa demokrasia wanasahau kuwa wamezungukwa na wananchi maskini na umma ambao siku wakichoka wanakuwa kama siafu waliochokozwa kutoka kwenye kundi lao.
Tufike mahali akina NApe waelewe kuwa wako kwenye wakati gani na ni upepo gani unapita kwa sassa na kuwa wanachi wa sasa wanasoma alama za nyakati na wanasikiliza kila unalosema na kwenye hotuba zako na maneno yako hawakosi kitu cha kuongea na kukupinga
 
Huu ndiyo ubaya wa chama cha magamba, uongozi wanapeana tu, bila mtu kuwa na sifa. Mwaka huu JMK atakoma na kugawa vyeo hata kwa wendawazimu kama akina NApe na Makamba
 
Si lile limama linalojifanya limeokoka? Sasa Nape ana share ule mzigo na Mwenyekiti?

Precisely!! yaani yule mama ni wa-wote! Nasikia huko mjengoni ni hatari tupu! Mumewe alikuwa ni ashomire fulani pale UDSM alibwaga manyanga baada ya mafumanizi ya mara kwa mara tena kwenye his matrimonial bed! Akasota sana, then siasa za Bongo zikamuokoa. Akiwa mjengoni akajitangazia ndoa na jamaa mmoja wa mkoani kwake, ambaye yupo TISS na amemtaliki pia mkewe, hawakumaliza muda jamaa naye kabwanga manyanga baada ya kupelekewa picha za ushahidi wa mamaa akibenjua amri ya sita ndani ya gari na mmoja wa memba wa Ze Commedy! sasa Nape kajikita kwa jimama huyo, mchezo ulianzia pale Nape alipokwenda mkoani Singida kuwa msimamizi wa uchaguzi na kumchakachulia matokeo na kumwibua mshindi, nafasi ambayo wanawake wa Singida waliapa kutompa tena. Nape namhurumia anahangaika na mfupa uliowashinda fisi! Afadhali akamuangukie mkewe, ambaye wana historia naye kwani zimwi likujualo halikuli likakwisha.
 
Back
Top Bottom