Radio Producer
JF-Expert Member
- Feb 4, 2011
- 728
- 320
Jaman kazi kweli kweli
BARUA KWA NAPE ..........uliyemuandikia Nape Mosess Nnauye barua hiyo ww naona na mshabiki wa siasa na kundi hilo lilokutuma humu jamiiforum kufanya hivyo waambie wamechemsha ww ni mfuasi tu wa kundi la MAFISADI UKIJIFANYA MPINZANI WA CCM huna lolote kwa jinsi unavyojieleza ww ni CCM NA MFUASI WA KUNDI LA MAFISADI ila aahh..ahhh Nape nyie hamummsumbui yote mnayotaka kumfanyia mtachemsha na mshachemsha.
-Nape ataendelea kuandika anachoona kiko sawa kwake kama kiongozi wa CCM TAIFA katika Mtandao wa FACEBOOK na wewe ukiwa mfuasi wa kundi hilo la MAFISADI endelea tu kusema unachoona kwako sawa DOMO LAKO NDIO MALI YAKO HAKUNA ANAYEKUZUIA maana usiposema watakulipa mshahara wa bure kwani mnalipwa nyie vijana wa mafisadi, sasa endeleeni weee maana huo ndio mwisho wenu wa haya madudu yenu mnayoyafanya katika nchii, malizeni tu miaka yenu hii, ila mjue AWAMU INAYOKUJA MNAKAZI KWELI....nasema mnakazi kweli.....subirini mtaona nchi hii yetu sote, nyie mwaigeuza yenu peke yenu watu msiozidi 100
Ni hali halisi kama mwenyekiti ndo yule itawezekana achague watu wanao mzidi yeye?
Kwa ****** huyu ndo bonge la msomi wa chama!
Kaka umenena tena kwa busara kubwa sana, kazi kwakweli kujiangalia akiwa kavaa viatu vyake mwenyewe. Kama uwezo wake ni mdogo basi aanze kusoma na kunyanyua uwezo wake nadhani pia silazima atumie akili zake maana ameonyesha hana kitu kichwa kabisa, anaweza kutumia wataalam wakulipwa kumpa mambo ya kuongea na nini cha kufanya.
Kinachoniuma katika nchnin yetu na ninacho pigia kelele kila siku ni matumizi mabovu ya rasilimali watu; hapa kwa harahara naona kama wewe ndie ulipaswa kuwa Katibu wa Itakadi na Uenezi wa CCM na si Nape nimefanya thathimini ya haraka inaonyesha wewe kama rasilimali ambayo ingeweza kuitumikia nchni yako ujapata nafasi yako staili na moja ya nafasi imezibwa na mtu hasiye na uwezo anaitwa Nape.
Safi sana mpe ushauri huyu dogo lakini kwa sababu anajiona nae amekuwa anaweza kuupiga teke ushauri wako, jaribu labda magamba yatapungua
Kweli kabisa mkuu tena wanena kweli kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaNape hawezi siasa za sasa, bahati mbaya sana wenye chama wamemkabidhi madaraka wakati wenyewe yamewashinda, hajui aanzie wapi zaidi sana anajichafua kwa kauli zake mwenyewe.
Kila mkutano, anatoa tafsiri tofauti ya kujivua gamba. Mkama kamtosa na ili tumkamate vizuri tunasubiri siku 90 tuone maajabu yake!
Asante mkuu! mimi nilifikiria sana maisha yake binafsi nikamhurumia nikaona nimshauri tu!Mkuu Radio Producer, mbona unajipotezea muda mwingi kushauri Nape? Viongozi wa CCM tangu lini wakajua kutumia mtandao?
Je unaweza kula pipi tamu iliyookotwa kwenye mtaro? Tafakari
Salam mheshimiwa!
Mimi Radio Producer napenda kukuandikia barua hii kwa hisia zangu ili kutoa mchango wangu kwako katika siasa ya sasa ambayo hata watoto wameielewa! Kwanza mimi sijui kabisaaa mambo ya undani kuhusu siasa ila napenda nikuelezea mtizamo wangu kwenye technologia ya mawasiliano!
1. Mkuu Nape mi nadhani umepewa heshima ya Ukatibu Enezi katika chama chako ili ufanye mambo mazuri ambayo yatakiletea sifa na uhai chama chako. Kwa mtu makini hiyo siyo nafasi ya kuonyesha ubabe au uwezo wa kuponda na kuharibu nguvu ya wapinzani, bila kutathimini athari zake kwa jamii. Ukweli kama alivyosema Mzee Mwanakijiji kwamba kazi ya chama pinzani ni kukisoa chama tawala na kumulika madhaifu yake ili kukidhoofisha na hatimaye kupewa dhaman ya kutawala na wanachi! Hata kwa chama tawala nadhani ni the same! Kwa kiasi umejitahidi kulifanyia kazi hilo make nimekuona kila ukisismama ukipata fursa ya kuponda upinzani unafanya hivyo. Lakini.......
2. Ijue vizuri teknolojia ya mawasiliano ya mtandao. Mtandao unaweza kukuharibia sifa zako sana! au kukuongezea sifa zako sana! Wataalamu wanasema kwamba moja ya negative effect za social network zinakuonyesha kwa jamii kiasi gani ulivyomweupe kichwani au ulivyo na nguvu kichwani! Nape nimesoma sana post zako nyingi hapa JF na hata kule Facebook hoja zako au topic zako unazotoa hata kwa mtu mwenye ufahamu wa kawaida anakuona wewe ni mtu wa kawaida sana! Wewe ni kiongozi mkubwa katika chama chako na hata nchi hii huwezi kuwa na post za ajabu ajabu kiasi hicho! Angalia wall zote za marais, hata watu wenye heshima uone kama utakuta post nyepesi kama zako. Moja ya post ulizopost ni hizi:-
Nape Nnauye
CHUO KIKUU CHA. DODOMA2 hours ago via BlackBerry · Like · kwenye facebook.
Majibu uliyoyapata unajua wewe!
post zingine:-
Nape Nnauye
Nimeona kikatuni mahali mtu mmoja kavaa kombati akiwaammbia wafiwa subirini msizike msubiri maandamano yetu hapa.......hii ni dhihaka au kweli?
Nape Nnauye
BINADAMU HAENDELEZWI ILA HUTENGENEZEWA MAZINGIRA MAZURI YA KUJIENDELEZA MWENYEWE"JK NYERERE
Nape Nnauye
TUSIKILIZE RADIO UHURU.....RADIO YA CHAMA CHETU
Hizi ni moja tu ya post zinazonifanya nikuone mtu wa kawaida sana! Angalia wall ya Obama, hata maraisi wengine kama inapost za kitoto kiasi hicho! Nape unajivunjia heshima! Halafu huoni hizo wall wanazokupostia watu zikiwa na matusi makubwa kiasi hicho?? Huoni kuwa jamiii iko kinyume nawewe zaidi? Je unatumia hoja gani sasa kujiweka vizuri katika jamii? Mafanikio huanzia katika jamii kama watu wengi wanakuponda jiulize cha kufanya ili hali hiyo iishe! WEWE BINAFSI UNAWEZA UKAWA MTU MZURI SANA LAKINI CHAMA KIKAHARIBU KABISA SIFA YAKO! Fikiria zaidi kaka yangu, sijaona hoja zako za kiuongozi!
3. Post ya katuni ya kombati. Kwa mimi hata kama ningekuwa balozi wa kitongoji nisingeweza kupost hoja ya hivyo wakati taifa lina msiba! Vifo vilivyotokea Mara ndugu yangu vinaumiza mno hasa kwa walengwa! Jiulize hata kama ungekuwa wewe ukatokwa na mtoto wako kwa hali hiyo ungepost post ya hivyo kweli? huu ni wakati wa kufikiria mara 3 zaidi kabla ya kusema chochote! Ni wakati ambao wafiwa wanahitaji maelezo ya kuridhisha na ya msingi! Unatakiwa kuwa na Empathies na Sympathies! Uchukulie kama msiba wako! Toa maneno yasiyo ya kisiasa wakati huo linda nafsi yako! Kadri unavyotoa maneno makali na ya kuumiza ndivyo unavyopata laana za wanachi na kudharauliwa! Kaka yangu Nape kaa chini basi kaka ufikirie vizuri uanze moja, ulivyoanza watu wengi wamekuwa kinyume hautafanikisha kile chama kimedhamiria!
4. Mtandao, Kaka yangu sijui elimu yako kuhusu mtandao iko level gani, lakini nakuomba kaa na watalaamu wa mitandao badili matumizi ya mtandao haraka iwezekanavyo. Hata facebook ingebidi ujitoe ni sawa tu au utengeneze page siyo kutumia kama hivyo unavyotumia! Mtu yeyeote anakupostia matusi tu kwenye wall yako anakudhalilisha mno kaka! Weka privacy yako kwenye Fb iwe kubwa! social network ziko hivi:- Walio kwenye mtandao wanaweza kuwa watatu hao wakitoka wanamarafiki zao wataenda kuwaambia yaliyotokea na hao watatu watafanya hivyo hivyo! Unachoandikiwa ama kuandika kinasomwa na wengi mno kaka yangu! Hata hapa JF, wewe kila hoja ukitoa watu wanakuponda tu ulishawafanyia nini? Hao wanaokupinga hapa wanafuatwa na jamii nyuma usitarajie jamii nayo itakukubali hamna! Kuna picha uliweka kwenye mtandao umebeba kanga za CCM wanaume wanakugombea wanataka wapate hata moja, NI AIBU KUBWA KWA TAIFA NAYAWEZA KUWA LAANA KWAKO! Wewe uliona fahari sana kuwa unafanya kazi, hebu fikiria angekuwa mzazi wako anajitoma kiasi hicho kugombania kamga ungefurahi? Wanachi wanahitaji kupewa haki yao sasa hivi sioyo vitenge wala kanga! Watanzania ni matajiri kwa vitu vya asili walivyopewa na Mungu, lakini leo wewe ndo unaneemeka na wao unawapelekea kanga???? ni tusi kubwa hilo kaka yangu! Kaka badili msimamo wako! jisikie Utanzania wa Watanzania maskini ili uwasaidie!
Namalizia kwa kusema Nape mtandao unakuharibia sifa zako, waachie wanaojua kuutumia vinginevyo wewe binafsi utapoteza heshima yako maisha yako yote!
Sina nia mbaya mwana wa mtu kama nimekukera leave me Alone.
Radio Producer.
Kaza uzi Nape , ukisikia paaaaaaa ujue imempata, ndivyo alivyo fanya huyu aliyeleta thread hii, yamemuingia na ujumbe umefika
Mkuu mwache huyu mpumbavu na mshenzi ajibiwe, mpaka hicho kitu kigumu alichokalia kinachomfurahisha kivunjike! Hawezi kuleta upuuzi wake humu ndani Forum ategemee kuachwa hiyo haiwezekani nasisitiza hiyo haiwezekani.Jamani mwacheni huyo OMR, mtashindwa kujadili hoja za msingi na kuanza kumjibu yeye, just ignore her.
Kuna mdau alitundika uzi mmoja matata sana kumhusu nape. Sasa nilipotaka kupost na mm nadhani wakawa wameshainyonga. Kwa nini?
Salam mheshimiwa!
Mimi Radio Producer napenda kukuandikia barua hii kwa hisia zangu ili kutoa mchango wangu kwako katika siasa ya sasa ambayo hata watoto wameielewa! Kwanza mimi sijui kabisaaa mambo ya undani kuhusu siasa ila napenda nikuelezea mtizamo wangu kwenye technologia ya mawasiliano!
1. Mkuu Nape mi nadhani umepewa heshima ya Ukatibu Enezi katika chama chako ili ufanye mambo mazuri ambayo yatakiletea sifa na uhai chama chako. Kwa mtu makini hiyo siyo nafasi ya kuonyesha ubabe au uwezo wa kuponda na kuharibu nguvu ya wapinzani, bila kutathimini athari zake kwa jamii. Ukweli kama alivyosema Mzee Mwanakijiji kwamba kazi ya chama pinzani ni kukisoa chama tawala na kumulika madhaifu yake ili kukidhoofisha na hatimaye kupewa dhaman ya kutawala na wanachi! Hata kwa chama tawala nadhani ni the same! Kwa kiasi umejitahidi kulifanyia kazi hilo make nimekuona kila ukisismama ukipata fursa ya kuponda upinzani unafanya hivyo. Lakini.......
2. Ijue vizuri teknolojia ya mawasiliano ya mtandao. Mtandao unaweza kukuharibia sifa zako sana! au kukuongezea sifa zako sana! Wataalamu wanasema kwamba moja ya negative effect za social network zinakuonyesha kwa jamii kiasi gani ulivyomweupe kichwani au ulivyo na nguvu kichwani! Nape nimesoma sana post zako nyingi hapa JF na hata kule Facebook hoja zako au topic zako unazotoa hata kwa mtu mwenye ufahamu wa kawaida anakuona wewe ni mtu wa kawaida sana! Wewe ni kiongozi mkubwa katika chama chako na hata nchi hii huwezi kuwa na post za ajabu ajabu kiasi hicho! Angalia wall zote za marais, hata watu wenye heshima uone kama utakuta post nyepesi kama zako. Moja ya post ulizopost ni hizi:-
Nape Nnauye
CHUO KIKUU CHA. DODOMA2 hours ago via BlackBerry · Like · kwenye facebook.
Majibu uliyoyapata unajua wewe!
post zingine:-
Nape Nnauye
Nimeona kikatuni mahali mtu mmoja kavaa kombati akiwaammbia wafiwa subirini msizike msubiri maandamano yetu hapa.......hii ni dhihaka au kweli?
Nape Nnauye
BINADAMU HAENDELEZWI ILA HUTENGENEZEWA MAZINGIRA MAZURI YA KUJIENDELEZA MWENYEWE"JK NYERERE
Nape Nnauye
TUSIKILIZE RADIO UHURU.....RADIO YA CHAMA CHETU
Hizi ni moja tu ya post zinazonifanya nikuone mtu wa kawaida sana! Angalia wall ya Obama, hata maraisi wengine kama inapost za kitoto kiasi hicho! Nape unajivunjia heshima! Halafu huoni hizo wall wanazokupostia watu zikiwa na matusi makubwa kiasi hicho?? Huoni kuwa jamiii iko kinyume nawewe zaidi? Je unatumia hoja gani sasa kujiweka vizuri katika jamii? Mafanikio huanzia katika jamii kama watu wengi wanakuponda jiulize cha kufanya ili hali hiyo iishe! WEWE BINAFSI UNAWEZA UKAWA MTU MZURI SANA LAKINI CHAMA KIKAHARIBU KABISA SIFA YAKO! Fikiria zaidi kaka yangu, sijaona hoja zako za kiuongozi!
3. Post ya katuni ya kombati. Kwa mimi hata kama ningekuwa balozi wa kitongoji nisingeweza kupost hoja ya hivyo wakati taifa lina msiba! Vifo vilivyotokea Mara ndugu yangu vinaumiza mno hasa kwa walengwa! Jiulize hata kama ungekuwa wewe ukatokwa na mtoto wako kwa hali hiyo ungepost post ya hivyo kweli? huu ni wakati wa kufikiria mara 3 zaidi kabla ya kusema chochote! Ni wakati ambao wafiwa wanahitaji maelezo ya kuridhisha na ya msingi! Unatakiwa kuwa na Empathies na Sympathies! Uchukulie kama msiba wako! Toa maneno yasiyo ya kisiasa wakati huo linda nafsi yako! Kadri unavyotoa maneno makali na ya kuumiza ndivyo unavyopata laana za wanachi na kudharauliwa! Kaka yangu Nape kaa chini basi kaka ufikirie vizuri uanze moja, ulivyoanza watu wengi wamekuwa kinyume hautafanikisha kile chama kimedhamiria!
4. Mtandao, Kaka yangu sijui elimu yako kuhusu mtandao iko level gani, lakini nakuomba kaa na watalaamu wa mitandao badili matumizi ya mtandao haraka iwezekanavyo. Hata facebook ingebidi ujitoe ni sawa tu au utengeneze page siyo kutumia kama hivyo unavyotumia! Mtu yeyeote anakupostia matusi tu kwenye wall yako anakudhalilisha mno kaka! Weka privacy yako kwenye Fb iwe kubwa! social network ziko hivi:- Walio kwenye mtandao wanaweza kuwa watatu hao wakitoka wanamarafiki zao wataenda kuwaambia yaliyotokea na hao watatu watafanya hivyo hivyo! Unachoandikiwa ama kuandika kinasomwa na wengi mno kaka yangu! Hata hapa JF, wewe kila hoja ukitoa watu wanakuponda tu ulishawafanyia nini? Hao wanaokupinga hapa wanafuatwa na jamii nyuma usitarajie jamii nayo itakukubali hamna! Kuna picha uliweka kwenye mtandao umebeba kanga za CCM wanaume wanakugombea wanataka wapate hata moja, NI AIBU KUBWA KWA TAIFA NAYAWEZA KUWA LAANA KWAKO! Wewe uliona fahari sana kuwa unafanya kazi, hebu fikiria angekuwa mzazi wako anajitoma kiasi hicho kugombania kamga ungefurahi? Wanachi wanahitaji kupewa haki yao sasa hivi sioyo vitenge wala kanga! Watanzania ni matajiri kwa vitu vya asili walivyopewa na Mungu, lakini leo wewe ndo unaneemeka na wao unawapelekea kanga???? ni tusi kubwa hilo kaka yangu! Kaka badili msimamo wako! jisikie Utanzania wa Watanzania maskini ili uwasaidie!
Namalizia kwa kusema Nape mtandao unakuharibia sifa zako, waachie wanaojua kuutumia vinginevyo wewe binafsi utapoteza heshima yako maisha yako yote!
Sina nia mbaya mwana wa mtu kama nimekukera leave me Alone.
Radio Producer.
Nape na Kibonde unawaonaje?
Mkuu umenena! sasa hivi mkewe kamkimbia kwa ufuska wake! anahangaika na lile jimama jamvi la wageni mhe. M..... (name withheld) mbunge wa Viti maalum Singida. Namba ya Nape ni 0715 131977