Mosachaoghoko
Senior Member
- Apr 19, 2011
- 137
- 10
juzi alikuwa Dodoma kutafuta wanachama lakini hata hajapata kabisa hivi anajiandaa kutowa amelezo ya ccj
Jamani naona mashambulizi kwa nape yamekuwa too much as if yy ndio chama peke yake kumbukeni yy ni katibu mwenezi moja ya majukumu yake ni kukisemea chama chake lkn naona kumekuwa na chuki binafc zaidi kuliko chama chake.
kwa pamoja tunajenga.
jamani naona mashambulizi kwa nape yamekuwa too much as if yy ndio chama peke yake kumbukeni yy ni katibu mwenezi moja ya majukumu yake ni kukisemea chama chake lkn naona kumekuwa na chuki binafc zaidi kuliko chama chake.
Kwa pamoja tunajenga.
ndugu wapenzi wa jf, miezi michache iliyopita kijana mwanasiasa machachari kwa jina la nape nnauye baada ya kukabidhiwa rungu, aliwapa wa-tz na hasa wanachama wa chama chake cha magamba matumaini kwamba atashinda vita ya ufisadi ndani ya chama hicho. Kwa majigambo alisema mafisadi (hasa mapacha watatu) waondoke ktk chama chake katika siku 90. Vinginevyo, watakiona cha moto. Nashindwa kuelewa kama huyu nape bado yuko hai au ameshakufa? Nauliza hivi maana ghafla amelowa, amenywea na amefyata kama mbwa aliyemuona chatu! Nisaidieni ndugu zangu yapi yamemfika nape? Masikini nape, au labda alijaribu kupima kina cha bahari kwa kutumia rula?
Ndugu wapenzi wa JF, miezi michache iliyopita kijana mwanasiasa machachari kwa jina la Nape Nnauye baada ya kukabidhiwa rungu, aliwapa wa-tz na hasa wanachama wa chama chake cha magamba matumaini kwamba atashinda vita ya ufisadi ndani ya chama hicho. Kwa majigambo alisema mafisadi (hasa mapacha watatu) waondoke ktk chama chake katika siku 90. Vinginevyo, watakiona cha moto. Nashindwa kuelewa kama huyu Nape bado yuko hai au ameshakufa? Nauliza hivi maana ghafla amelowa, amenywea na amefyata kama mbwa aliyemuona chatu! Nisaidieni ndugu zangu yapi yamemfika Nape? Masikini Nape, Au labda alijaribu kupima kina cha bahari kwa kutumia rula?
lkn si kila kitu anachofanya ni kibaya kwa chama chake ni kizuri sanaa ndo maana wamemwamini na kumpa kitengo nyeti kama hicho. !!!!
Mkuu nadhani wanaona wasubiri mpaka moto uje uingie ndani ya nyumba wajaribu kuuzima kama wataweza!
Nape na Kibonde unawaonaje?
Inaonekana basi nguvu ya Nape ni kubwa sana maana kama chama kimekufa na yy anasimama pekee yake kukitetea inabidi mpe big up na sio kumbeza kiasi hicho tumkubali kwa yale anayofanya lkn si kila kitu anachofanya ni kibaya kwa chama chake ni kizuri sanaa ndo maana wamemwamini na kumpa kitengo nyeti kama hicho. Najua kila mtu ana opinion zake lkn tukubali kwamba kuteuliwa kwake kwenye nafasi hiyo kumeleta changamoto sana kwenye uwanja wa siasa nakiri kwamba sekretarieti iliyopita ya ccm haikuwa na watu wenye changamoto ktk jukwaa la siasa kama ilivyo kwa Nape ebu tumpe moyo kwa wale wanaohitakia mema nchi yetu suala sio chama gani ila amani ya watanzania ndio kitu kikubwa sana.
Kwa pamoja tunajenga!!!!