Nape: CHADEMA iwajibike matukio ya mauaji

Nape: CHADEMA iwajibike matukio ya mauaji

Tatizo la watu wa CDM ni uhodari wa kutusi wengine wanapokuja na hoja wasizozipenda. Shame on u
Tatizo ni pale wanapoambiwa nyeusi ni nyeupe na nyeupe ni nyeusi! Hapo hakuna ustaarabu wala muda wa kupoteza kutna hoja maana magamba kwenye hoja hawafanikiwi isipokuwa kwa majungu kama haya ya Nape, wewe jiulize wananchi kwenye tukio hili wanalaumu upande gani?
 
Hii kwangu mpya, '' Liwalo na LIWALE''???? huh!
 
Chadema ni Genge la Wahuni wasioitakia mema Tanzania na CCM haitakuja kukabithi nchi kwa wanaharakati, hawajui kuongoza nchi.... Hivi Dr ameshazeeka vile mnafikiria kumkabithi nchi hivi hakuna mtu mwingine ndani ya Chama au lazima mtu atoke Kaskazini kama kawaida yenu.. kwa sababu Mbowe hana Sifa Elimu yake ndogo sana hata Chuo kikuu hajafika,
 
ilibaki kidogo nikuite kibaraka unayetumikia magamba kwa manufaa ya tumbo lako.
 
Yeyote anayeamini kuna Democrasia ndani ya Chama atueleze Watanzania....
Ndio maana watu wenye Akili kama Zito huwezi kumuona anahamasisha Watanzania wavunje Sheria,,,,Adhali za Kuvunja sheria ni kushughulikiwa kwa mujibu Sheria na ninawaambia mkiandamana bila kibali mwendo mdundo mnashughulikiwa..
Na ninachukua nafasi hii kuwapongeza viongozi wote Imara wanaowashughulikia wanaovunja Sheria kwa Makusudi...
Watanzania wenzangu Mbona zinapotokea vurugu Genge la kutafuta hela la Chadema na Wenzake huwa hawaonekani wanatorokaje?

Bila shaka ukitoka hapa breki ya kwanza ni lumumba kukinga makalio yako kwa posho ya leo.
 
Kabisa lazima awajibike Dr Slaa, mana tumeona kabisa hadi katika picha vijana wa Chadema wamevaa kombati wanampiga marehemu na mmoja wao anamfyatulia marehemu bomu la machozi tumboni, lazima wawajibike chadema wanajitawanya wenyewe kwa mabomu, risasi na virungu then wanadai polisi, tunawaona kila siku, hongera mleta mada kwa kujaribu kupingana na ukweli
 
Jana kuna thread zilichangia kwa kusema mwandishi FRANCIC GODWIN ni Gamba sasa nimeamini umeamua kuanza kuishambulia CDM ili urudishe imani kwa Magamba wenzio hata ufanyeje ukweli hauwezi fichika.
Kibogo, mimi siishambulii Chadema ila nimeleta Hoja Tupime kwa pamoja na tuache Ushabiki tuzungumze Ukeli.. Na kama hamtakubali kukosolewa hamna sifa za kuongoza nchi...CCM ni chama kinachokubali kukosolewa ndio maana Mhe Jk katoa uhuru wa kuzungumza mpaka nahisi Amepitiliza
 
Awajibike pia na Maandamano ya Maustaadh leo

.
Kwa hiyo mtu akivunja sheria Tz anapigwa bomu au risasi ya kichwa on the sport?
Naona bado upo katika ndoto za Tz ya '47
.
 
Niwakumpeleke the Hague kale kazee akafunge na harusi Yake huko akiwa mahabusu
 
Tatizo la watu wa CDM ni uhodari wa kutusi wengine wanapokuja na hoja wasizozipenda. Shame on u

Kwamwenye akili timamu nauzalendo na roho ya kumcha MUNGU basi ni ajabu ya kutisha kuendeleza ushabiki wa vyama hasa pale roho za raia wema zinapokatizwa uhai kwa maslahi ya watu fulani. Je siku MUNGU akichokana na roho hizi chafu, wanafiki wote mtajificha wapi? Si mambo yote yanayotaka shule kuyajua, wengi tumesha soma alama za nyakati. Ndg zetu Waislamu wa Dar wmemaliza kazi
 
Mleta mada ni mgonjwa au ana mapepo kitu kifanyike kumuokoa huyu mpuuzi wa mada hii ?

Lunyungu, Mimi ni Mzima wa afya ila imefika wakati tusiwamalize Watanzania kwa kuwaua kwa mgongo wa Siasa na Genge la Chadema ndio linaendelea kutengeneza hela huku wanawamaliza Watanzania,,,,
CCM Siku zote wanaheshimu sheria ndio maana huwezi kusikia mtu kapigwa Risasi ,,
 
Toka Edward Lowasa amefitiniwa na kujiuzulu Uwaziri Mkuu ninashuhudia udhaifu mkubwa ajabu ktk serikali ya CCM! Mauaji ya aibu na wahusika wakijulikana wazi,chama kinatoka na tamko kama hili! Tumefikaje hapa? Wazee kama Salim, Warioba, Butiku na wengine msikae kimya. Hatukufika hapa kwa bahati mbaya,enzi zenu mlizembea mahali,ndiyo maana wahuni wanaongoza chama chenu!
 
We mgonjwa,? Anyway pengine mzazi wako mwana ccm, mwambie ale za mwisho mwisho, HATUDANGANYIKI.
 
Huyu bwana mdogo ni mpumbavu na hajui asemacho. Ila nguvu ya umma itamfundisha muda si mrefu.

The Great Thinker wanauwezo wa kukabili jazba zao na kuchagua maneno yanayofaa hata kama ni kwa kuonyeshwa hupenzwi.
 
Ajiuzuru halafu ale wapi, mwenzako analamba 7m za kiulaini hivi. Na umesahau lile deni alilo jikopesha CDM, nani atamlipia?juniour mwenyewe hata vidudu bado. Mzee haachi ngazi hata iweje. Mtakufa nyie tu,yeye na mama watoto wataendelea kula kuku.
 
huyu nae nilishaacha kuchungulia habari zake kama nilivyoacha kuchungulia za dk.bana sijui kimenileta nini huku huyu jamaa ni ovyo mno kesha niaribia hamu ya chakula usiku huu
 
Back
Top Bottom