Nape: CHADEMA iwajibike matukio ya mauaji

Nape: CHADEMA iwajibike matukio ya mauaji

hivi CCM hawana viongozi wasomi na waadilifu zaidi ya Nape na Makamba?
enzi za Mangula CCM ilikuwa inaheshimika
hakuw amropokaji na alikuwa mtu wa busara, matokeo yake wakamtosa
Nape acha kubwabwaja na mashakama na upeo wako kiakili na kifikra.
 
Nape any silly move against cdm/opposition itasababisha kusambaratisha chama chenu. Mnachoweza kufanya sasa ni kutumia rasilimali zilizoko kuwaletea maisha bora watanzania badala ya kufisadi vinginevyo mnapoteza muda kwa mbinu za mwaka 47 wakati watanzania wengi wameamka na wanafuatilia kila move mnayofanya.
 
Chadema ni Genge la Wahuni wasioitakia mema Tanzania na CCM haitakuja kukabithi nchi kwa wanaharakati, hawajui kuongoza nchi.... Hivi Dr ameshazeeka vile mnafikiria kumkabithi nchi hivi hakuna mtu mwingine ndani ya Chama au lazima mtu atoke Kaskazini kama kawaida yenu.. kwa sababu Mbowe hana Sifa Elimu yake ndogo sana hata Chuo kikuu hajafika,
Hivi unajua sifa za wahuni
- Muhuni ni yule anaye iba na kunyang'anya kutoka kwa wasionacho na kujilimbikizia yeye.
- Muhuni ni yule mwenye vikundi vya uharifu vinavyo kamata watu na kuwapa kipigo
- Muhuni ni yule anaye fanya uzinzi na wake za watu kwa umaarufu wa fedha
- Muhuni ni yule mwenye vikundi vya uharifu vinavyotoa roho za watu
- Muhuni ni yule anaye hamisha fedha za ndani na kuzipeleka nje huku nchi yake ikiwa bado masikini
- Muhuni ni yule anayeambiwa makosa yake lakini hajirekebishi.
- Muhuni ni yule anayetumi vibaya madaraka na sheria za nchi kwa maslahi yake binafsi ya ya chama chake
katika hayo niliyoyaeleza uhuni wa CDM uko wapi?
 
nafikiri wakati anaandika uzi huu alikuwa amekalia kitu fulani chenye ncha
 
Kwa maoni yako Dr. Slaa akivunja sheria, mwananchi achukuliwe hatua. Hatua ni kuuwawa ili serikali ionekane si dhaifu. Umadhubuti wa serikali unapimwa kwa kuua wananchi.
Nawauliza wanaJF. haya ndiyo mawazo ya mwanachama wa GREAT THINKERS?

AsungwileMwaifunga,,, Dr slaa akivunja Sheria achukuliwe Sheria kama kawaida ila Wananchi nao wakivunja sheria wachukuliwe Sheria, Mpaka sasa nina wasi wasi Chadema walimpa Bomu akalilipue kwa Police
 
kweli kuna watu wana akili kama ya panzi,ccm wao wafanye mikutano kule bububu na shuguli zingne za kichama wasibughudhiwe na policcm lakini mikutano tu ya chadema ndo yazuiwa kisa sensa,sasa huyu mwenye kuandika hoja hi katumia akili kweli,rais wa 2015 awajibike kwa lipi?wananch mnazulumiwa na mafisadi walioko madarakani fanyeni mabadiliko,
 
Wewe hujui kuwa polisi ndio huanzisha vurugu kwenye mikutano ya chadema na kusababisha mauaji?
 
Serikali ya CCM ni imara sana ndio maana itakapotokea Dr kavunja Sheria atachukuliwa Sheria kama kawaida na ikitokea amebeba Bomu yeye mwenyewe anataka akalilipue kwa Police atashughulikiwa tu,,, Na ninapenda Kumpongeza Tendwa Chama kinachovunja Sheria Kifutwe, Lazima Tuheshimu Utawala wa Sheria,
 
Kibogo, mimi siishambulii Chadema ila nimeleta Hoja Tupime kwa pamoja na tuache Ushabiki tuzungumze Ukeli.. Na kama hamtakubali kukosolewa hamna sifa za kuongoza nchi...CCM ni chama kinachokubali kukosolewa ndio maana Mhe Jk katoa uhuru wa kuzungumza mpaka nahisi Amepitiliza

Uhuru wa kuzungumza umepewa na CCM na Kikwete? Jitu jinga kiasi hiki ambalo halijui haki zake kama raia wa Tanzania eti linachangia hapa!! Siyo ajabu ukakuta mbumbumbu kama huyu ni kiongozi ngazi ya juu CCM!
 
Mecy, Kila kitu kinaendeshwa kwa Sheria za Nchi ukizuiliwa subiri Dr Slaa aliambiwa na Kamanda RPC Kamuhanda asubiri aanze Mikutano yake Tarehe 9 Akagoma kumbe anatembea na Mabomu kwa sababu anavunja sheria akajua kuwa Lazima Vurugu itatokea tu na atafanikiwa kile anachokitaka ili kuongeza Pesa kutoka Baadhi ya Mataifa ya Nje....Funguken Wanachama wa Chadema mtaisha na Mkija tena Iringa Mkivunja Sheria mtashughulikiwa na Dr Slaa hamtamuona wakati mnashughulukiwa ..
Kamanda Kamuhanda Kuwa Imara Serikali ya CCM ni Imara na Viongoz wake ni Imara]
Tatizo la Chadema maamuzi mengine mnayafanyia kwenye vikao vya Ukoo mnapeleka kwenye Chama,
 
Ukiitafakari sana hii thread, lazima utaugua kizungzungu. It is below basic thinking!
 
Tatizo Watanzania hawawajui vizuri Wachaga Pesa kwanza Uzalendo Baadaye ...Hiki Chama cha Chadema ni cha Ukoo ndio maana Mzee Mtei kamkabithi Mkwe na hawataki mtu yeyote kutoka nje ya Kaskazini kuongoza Chama kwa Nafasi za Mwenyekiti Taifa na Katibu Mkuu... Hili ni Genge la wahuni... kama kweli wanauzalendo na watanzania Anzen mabadiliko ndani ya Chama 2013 uchaguz wenu ndani ya chama,,,
 
Timbilimu, Hebu niambie uhuru wa kuzungumza 1995-2005,,,,
2005- 2010 ni sawa?
Halfu ulishawah kusikia Marekani wanazungumzia madhaifu ya Nchi yao kama Tz?
 
Wa kuwajibika hapa ni JK,Haijawahi kutokea katika historia ya dunia hii kuwa na rais dhaifu kama huyu,Rais anayetoa ahadi za uongo ambazo hawezi kutekeleza

Rais ambaye anahubiri udini live,anajaribu kuligawa taifa kwa udini,anatupeleka kubaya.

Rais ambaye anagawa taifa kikanda hizo ni propaganda chafu kabisa kuwahi kutokea.

Kilichotokea leo kwa waislam ndicho kinakuja kwenye makabila ni hatari sana.Huyu ndiye kiongozi anayetakiwa kuwajibika ameshindwa kila kitu

Dk Slaa ndiye Nyerere aliyebaki ndio maana mnahaha kutaka kumwangamiza,MUNGU atamlinda hatimaye kutufikisha kwenye nchi ya ahadi.
 
Timbilimu, Hebu niambie uhuru wa kuzungumza 1995-2005,,,,
2005- 2010 ni sawa?
Halfu ulishawah kusikia Marekani wanazungumzia madhaifu ya Nchi yao kama Tz?

Jimmy P! Katiba ya Tanzania ndiyo inawapa Watanzania uhuru wa kujumuika,kuzungumza na kutoa maoni,siyo Kikwete wala chama chake na kitakachofuatia kutawala nchi kinaweza pora Watanzania haki hii!
 
kweli kuna watu wana akili kama ya panzi,ccm wao wafanye mikutano kule bububu na shuguli zingne za kichama wasibughudhiwe na policcm lakini mikutano tu ya chadema ndo yazuiwa kisa sensa,sasa huyu mwenye kuandika hoja hi katumia akili kweli,rais wa 2015 awajibike kwa lipi?wananch mnazulumiwa na mafisadi walioko madarakani fanyeni mabadiliko,

Ni hapo tutakapopata rais Kichaa, sijui utakimbilia wapi.
 
Back
Top Bottom