Msolopagazi
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 663
- 153
Wakuwajibika ni policcm walioshoot watu au cdm I think there is something wrong ndani ya kichwa cha Nape hivi hajasoma hata matamko ya wengine kabla ya kupost lake
Ushabiki ni kitu cha hatari sana, kwa bahati mbaya watu ambao wanachezesha michezo Tanzania (polisi, mahakimu,wakuu wa wilaya na mikoa,msajiri wa vyama vya siasa,waandishi wa habari, n.k) nao pia ni washabiki na matokeo yake ni haya mauaji ya raia wasio na hatia ili mradi kujaribu kujenga taswira kuwa wenye mkutano ndio wamesababisha vifo na bila aibu watu kama Nnape wanasimama kusema kama vipofu, na bahati mbaya kabisa vyombo vya habari navyo vimeshindwa kuujulisha umma ukweli wa mambo.
Nilitegemea pia kusoma maelezo ya mwandishi wa makala hii kuhusu nama ambavyo watu hawa anaowasema Nnape waliuwawa katika mazingira yapi, je Chadema waliwanyonga au ilikuwaje mpaka wakaupoteza uhai?
yani hili lijamaa sijui limetoka wap...kuropoka tuuuuuu!!! kwan kaua nani?? police au chadema??? nahisi bado mtoto akikua ataacha!!Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM, Nape Nauye, leo atazungumzia mauaji ya Mwangosi katika Star tv.
Ninatafakari, atakuwa na jipya gani? Kama tuliilaani serikali ya makaburu kwa mauaji ya Sharpville na yale ya Soweto(hatukulaani polisi wa Afrika kusini) ambayo yote yalifanywa na polisi wa Afrika kusini, vipi mauaji ya Mwangosi(Iringa), Morogoro na Arusha, tusiilaani Serikali ya CCM?
Polisi ni agents tu. CCM ndo wakulaaniwa na kubebesha mzigo.
Angalia: mazuri yote yanayofanywa na serikali, wanasema ni ya kwao. Vipi wajitenge na mabaya yanayofanywa na serikali?
Akili tope, Madrassa zinawaharibu for RealLete hoja acha porojo..