Rogate
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 215
- 45
Nina wasiwasi mkubwa na chadema hawa jamaa inaelekea wameweka tamaa ya madaraka mbele na ni watu wachochezi sana.ni kama kagenge fulani hivi ka wahuni
MMMhhhh!!! Zimo kweli ndugu yangu? Shirikisha akili yako japo kidogo tu. Think out of the box.