Nape anatofauti gani na kiazi kisichopikwa?
...Unakitukana Kiazi Comrade!! heh heh heh....!:smiling:
...Unakitukana Kiazi Comrade!! heh heh heh....!:smiling:
Huyu kweli ni KATIBU MWENEZI.............. bila polisi kutumia nguvu na kuziacha akili mahabusu, hayo mauaji yangelitoka vipi...............? inamaana hata lile liaskari lililoshika ile bunduki akimuelekeza marehemu mwangosi huyu nape ndo tuseme picha zile hajaziona na ukatibu wake....................?
Slaa niwakunyongwa kwa kusababisha yote haya.Kama umeshindwa kufuata Amri za kanisa za serikali hata ziweza Kweli huyu mtu ni zaidi ya Nduli