Nape: CHADEMA iwajibike matukio ya mauaji

Nape: CHADEMA iwajibike matukio ya mauaji

Imefika wakati viongozi wa Chadema wawajibike kwa vifo vinavyotokea katika maandamano yao kwa sababu wao ndio wanasababisha na wanakuwa wanafahamu kuwa mtu atafariki, Kifo cha Mwangosi Iringa kabla tukio halijatokea Mwandishi Francis Godwin alimuuliza Dr Slaa kwamba kwa nini wanaenda kufanya Mkutano wakati wamezuiliwa kufanya Mkutano Dr slaa alieleza Liwalo na Liwale na yuko tayari kupoteza Maisha ya Mtanzania yeyote ili kuimarisha Chama.
Hivi kwa nn Dr Slaa asiuzulu pamoja na Mwenyeki kama kweli wana nia ya dhati na Watanzania?
Kwa maneno aliyoyatoa ilikuwa ni lazima nguvu itumike kwa Sababu CDM Wakivunja Sheria wasiposhughulikiwa wanasema Serikali ya CCM dhaifu Sasa ili isiwe dhaifu lazima kila mmoja aheshimu sheria na anayevunja achukuliwe Hatua na ninamweleza IGP Na RPC Lazima muuendelee kulinda sheria kila mmoja aheshimu anayebisha ashughulikiwe...

Halafu Dr Alikuwepo Nyololo mbona alipoanzisha fujo tu hatukujua kaelekea wapi au ni Mkakati wa Chadema kuua watanzania wameagizwa na Wafadhili wao?

Kweli nimeamin kikao cha Chadema hakina Tofauti na kikao cha ukoo...Kikao cha Ukoo kinaweza kubadilika kuwa Kikao cha Chama
Hii inaonyesha jinsi ulivyomtumwa wa fikra.Magamba yanauana yenyewe kwa sumu sembuse raia, kala bagao!!!
 
Taifa linaangamia kwa kuwa na watu wa akili kama ya kwako....hatushangai akili ndogo zishatawala akili kubwa na wameona watanzania wote mazumbukuku..Kilichobaki ni kimoja tu, wait and see. Moto huu hauzimiki kwa hila, fitina, majungu wala mizengwe ya polisi na NYINYIEM,, utawaka kuanzia kindergaten mpaka Chuo Kikuu, Buguruni kwa Mnyamani hadi Magogoni..Mpaka wakati huo mtaisoma namba. Hakuna kuogopa kufa...
 
Wa kuwajibika hapa ni JK,Haijawahi kutokea katika historia ya dunia hii kuwa na rais dhaifu kama huyu,Rais anayetoa ahadi za uongo ambazo hawezi kutekeleza

Rais ambaye anahubiri udini live,anajaribu kuligawa taifa kwa udini,anatupeleka kubaya.

Rais ambaye anagawa taifa kikanda hizo ni propaganda chafu kabisa kuwahi kutokea.

Kilichotokea leo kwa waislam ndicho kinakuja kwenye makabila ni hatari sana.Huyu ndiye kiongozi anayetakiwa kuwajibika ameshindwa kila kitu

Dk Slaa ndiye Nyerere aliyebaki ndio maana mnahaha kutaka kumwangamiza,MUNGU atamlinda hatimaye kutufikisha kwenye nchi ya ahadi.

Kumlinganisha Nyerere na kichaa Slaa ni kumkosea adabu kulikopitiliza mzee wa watu. Mwacheni apumzike kwa amani
 
Nimetangaza adharani kwa kupita vyombo vya habari tena vikiwemo vinavyomilikiwa na serikali ya kwamba hatuhesabiwi. Na kweli ilipofika wakati wa kuhesabu watu, tunatimiza lile tulilolisema; baadhi wakakamatwa.
Leo tumefanya maandamano kuelekea makao makuu ya jeshi la polisi kudai wale wote walokamatwa kinyume cha sheria waachiwe bila masharti yoyote, na tumeahidiwa hivyo.

Kwa kweli utawala wa sheria umeshamiri sana. Ukistaajabu ya Hitler utayaona ya Saadam Hsn
 
Wa kuwajibika hapa ni JK,Haijawahi kutokea katika historia ya dunia hii kuwa na rais dhaifu kama huyu,Rais anayetoa ahadi za uongo ambazo hawezi kutekeleza

Rais ambaye anahubiri udini live,anajaribu kuligawa taifa kwa udini,anatupeleka kubaya.

Rais ambaye anagawa taifa kikanda hizo ni propaganda chafu kabisa kuwahi kutokea.

Kilichotokea leo kwa waislam ndicho kinakuja kwenye makabila ni hatari sana.Huyu ndiye kiongozi anayetakiwa kuwajibika ameshindwa kila kitu

Dk Slaa ndiye Nyerere aliyebaki ndio maana mnahaha kutaka kumwangamiza,MUNGU atamlinda hatimaye kutufikisha kwenye nchi ya ahadi.

Kumlinganisha Nyerere na kichaa Slaa ni kumkosea adabu kulikopitiliza mzee wa watu. Mwacheni apumzike kwa amani
 
imefika wakati viongozi wa chadema wawajibike kwa vifo vinavyotokea katika maandamano yao kwa sababu wao ndio wanasababisha na wanakuwa wanafahamu kuwa mtu atafariki, kifo cha mwangosi iringa kabla tukio halijatokea mwandishi francis godwin alimuuliza dr slaa kwamba kwa nini wanaenda kufanya mkutano wakati wamezuiliwa kufanya mkutano dr slaa alieleza liwalo na liwale na yuko tayari kupoteza maisha ya mtanzania yeyote ili kuimarisha chama.
Hivi kwa nn dr slaa asiuzulu pamoja na mwenyeki kama kweli wana nia ya dhati na watanzania?
Kwa maneno aliyoyatoa ilikuwa ni lazima nguvu itumike kwa sababu cdm wakivunja sheria wasiposhughulikiwa wanasema serikali ya ccm dhaifu sasa ili isiwe dhaifu lazima kila mmoja aheshimu sheria na anayevunja achukuliwe hatua na ninamweleza igp na rpc lazima muuendelee kulinda sheria kila mmoja aheshimu anayebisha ashughulikiwe...

Halafu dr alikuwepo nyololo mbona alipoanzisha fujo tu hatukujua kaelekea wapi au ni mkakati wa chadema kuua watanzania wameagizwa na wafadhili wao?

Kweli nimeamin kikao cha chadema hakina tofauti na kikao cha ukoo...kikao cha ukoo kinaweza kubadilika kuwa kikao cha chama

bora mungu akunyime kila kitu kuliko kukunyima upeo wa kutambua na kuchambua mambo,yani..............
 
aanze IGP, RPC Iringa. Ndo tutafikiria swala la slaa.
 
Huyu atakuwa nape bila shaka
imefika wakati viongozi wa chadema wawajibike kwa vifo vinavyotokea katika maandamano yao kwa sababu wao ndio wanasababisha na wanakuwa wanafahamu kuwa mtu atafariki, kifo cha mwangosi iringa kabla tukio halijatokea mwandishi francis godwin alimuuliza dr slaa kwamba kwa nini wanaenda kufanya mkutano wakati wamezuiliwa kufanya mkutano dr slaa alieleza liwalo na liwale na yuko tayari kupoteza maisha ya mtanzania yeyote ili kuimarisha chama.
Hivi kwa nn dr slaa asiuzulu pamoja na mwenyeki kama kweli wana nia ya dhati na watanzania?
Kwa maneno aliyoyatoa ilikuwa ni lazima nguvu itumike kwa sababu cdm wakivunja sheria wasiposhughulikiwa wanasema serikali ya ccm dhaifu sasa ili isiwe dhaifu lazima kila mmoja aheshimu sheria na anayevunja achukuliwe hatua na ninamweleza igp na rpc lazima muuendelee kulinda sheria kila mmoja aheshimu anayebisha ashughulikiwe...

Halafu dr alikuwepo nyololo mbona alipoanzisha fujo tu hatukujua kaelekea wapi au ni mkakati wa chadema kuua watanzania wameagizwa na wafadhili wao?

Kweli nimeamin kikao cha chadema hakina tofauti na kikao cha ukoo...kikao cha ukoo kinaweza kubadilika kuwa kikao cha chama
 
Kama ni kweli unaamini ulichosema, Kwanini Police wasingemuua Dr.Slaa? Kwanini walimuua Mwandishi wa Habari? Sasa Dr.Slaa hawajibike kwa lipi?
Je ni Dr.Slaa aliye wachochea Bashe na Dr.K kutishiana kwa mitutu ya bunduki ndani ya ofisi ya CCM wilaya?
Je ni Dr. Slaa aliyesema Dr. Mwakyembe kawekewa sumu na wanachama wenzake wa ccm?
Je ni Dr. Slaa aliyechochea Waislam leo Dar kuandamana kudai madai waliyotoa?
Mtasema kila kitu, mtatumia kila kitu, mwisho wa siku HAKI ITAIBUKA MSHINDI

je niDr.slaa aliyemteka ulimboka?
 
Mpaka hapa kama umesoma majibu ya uzi wako basi utakuwa ushapata jibu!
 
Tueshimu kila mawazo ya kila mtu,ila tuyalaani kwa jina la YESU
 
Wewe unaongea kama mtu asiyetumia uwezo wake wa kufikiri. Utamwajibisha vipi Slaa wakati mauaji yamefanywa na polisi? Kama Slaa anawachochea polisi (serikali) kwenda kufanya mauji nao wanaenda kufanya basi hilo liserikali ni la wajinga wote. Polisi watauaje raia mwema, tena asiye na silaha (hahatarishi usalama) kwa kumpiga risasi na wewe unakuja hapa kuwatetea? Tuacheni umbumbumbu na ujinga wa kutizama mambo bila kuangalia uhalisia wake.
 
nina wasiwasi mkubwa na chadema hawa jamaa inaelekea wameweka tamaa ya madaraka mbele na ni watu wachochezi sana.ni kama kagenge fulani hivi ka wahuni


huyu ni nape huyu na hoja zake za taarabu zisizo na ustaarabu
 
Imefika wakati viongozi wa Chadema wawajibike kwa vifo vinavyotokea katika maandamano yao kwa sababu wao ndio wanasababisha na wanakuwa wanafahamu kuwa mtu atafariki, Kifo cha Mwangosi Iringa kabla tukio halijatokea Mwandishi Francis Godwin alimuuliza Dr Slaa kwamba kwa nini wanaenda kufanya Mkutano wakati wamezuiliwa kufanya Mkutano Dr slaa alieleza Liwalo na Liwale na yuko tayari kupoteza Maisha ya Mtanzania yeyote ili kuimarisha Chama.
Hivi kwa nn Dr Slaa asiuzulu pamoja na Mwenyeki kama kweli wana nia ya dhati na Watanzania?
Kwa maneno aliyoyatoa ilikuwa ni lazima nguvu itumike kwa Sababu CDM Wakivunja Sheria wasiposhughulikiwa wanasema Serikali ya CCM dhaifu Sasa ili isiwe dhaifu lazima kila mmoja aheshimu sheria na anayevunja achukuliwe Hatua na ninamweleza IGP Na RPC Lazima muuendelee kulinda sheria kila mmoja aheshimu anayebisha ashughulikiwe...

Halafu Dr Alikuwepo Nyololo mbona alipoanzisha fujo tu hatukujua kaelekea wapi au ni Mkakati wa Chadema kuua watanzania wameagizwa na Wafadhili wao?

Kweli nimeamin kikao cha Chadema hakina Tofauti na kikao cha ukoo...Kikao cha Ukoo kinaweza kubadilika kuwa Kikao cha Chama

Source ya hayo mahojiano? Hili sio jukwaa la taarabu za TOT, toa chanzo. Halafu mlitaka Dr awepo ili mummalize?
 
Huyu jamaa ni mgonjwa sana.......anahitaji maombi ya Mwakasege.
 
Imefika wakati viongozi wa Chadema wawajibike kwa vifo vinavyotokea katika maandamano yao kwa sababu wao ndio wanasababisha na wanakuwa wanafahamu kuwa mtu atafariki, Kifo cha Mwangosi Iringa kabla tukio halijatokea Mwandishi Francis Godwin alimuuliza Dr Slaa kwamba kwa nini wanaenda kufanya Mkutano wakati wamezuiliwa kufanya Mkutano Dr slaa alieleza Liwalo na Liwale na yuko tayari kupoteza Maisha ya Mtanzania yeyote ili kuimarisha Chama.
Hivi kwa nn Dr Slaa asiuzulu pamoja na Mwenyeki kama kweli wana nia ya dhati na Watanzania?
Kwa maneno aliyoyatoa ilikuwa ni lazima nguvu itumike kwa Sababu CDM Wakivunja Sheria wasiposhughulikiwa wanasema Serikali ya CCM dhaifu Sasa ili isiwe dhaifu lazima kila mmoja aheshimu sheria na anayevunja achukuliwe Hatua na ninamweleza IGP Na RPC Lazima muuendelee kulinda sheria kila mmoja aheshimu anayebisha ashughulikiwe...

Halafu Dr Alikuwepo Nyololo mbona alipoanzisha fujo tu hatukujua kaelekea wapi au ni Mkakati wa Chadema kuua watanzania wameagizwa na Wafadhili wao?

Kweli nimeamin kikao cha Chadema hakina Tofauti na kikao cha ukoo...Kikao cha Ukoo kinaweza kubadilika kuwa Kikao cha Chama

Source ya hayo mahojiano? Hili sio jukwaa la taarabu za TOT, toa chanzo. Halafu mlitaka Dr awepo ili mummalize?
Hii Jimmy P, nadhani ni Jimmy PU*GA
 
Back
Top Bottom